Pumbavu kabisa mwaka huu yanewafika shingoni sasa mmeanza kujipa moyo, walah mwaka huu mtanyooka tu, usicheke na nguvu ya Ummma
Kitengo kitakuwa kimewaweka ndani na usishangae wakatoka.usichoelewa ni kipi hapa?Tunataka itoke hyo system tumechoshwa kula majan ili mrad ndege ya rais inunuliwe leo wapo gerezan nao c ndo system pia au cjui nchi inaendaje
Kitengo kitakuwa kimewaweka ndani na usishangae wakatoka.usichoelewa ni kipi hapa?
Kwa yanayoendelea hivi sasa usishangae kuona watu wanakuja kulia lia namna hii, sisi tuendelee na mapambano tu.nifah unasemaje kuhusu hii post???
Kwa yanayoendelea hivi sasa usishangae kuona watu wanakuja kulia lia namna hii, sisi tuendelee na mapambano tu.
System haiwezi kuishinda nguvu ya umma ya safari hii.
Pia tukumbuke systems ni watu kama sisi nao wanahitaji mabadiliko.
Mbona unachanganyikiwa wakati umeambiwa kitengo kiko kwenye majaribio.Nguvu ya umma inapimana ubavu na system.
Hawa wameona kigumu sasa wanataka mbeleko ya kitengo mwaka uu wanalo sana. Wamechokwa kabisa.Hahahaha mkuu nifah hawa watu wamepanic aisee, wanajipa moyo et system sasa hyo system haikujua kama kumkata jina kamanda lowasa itakuwa ni threat kwa afya ya chama na system yake? Au system nayo ililala usingizi.
Kuna mdau hapo juu kasema system yenyewe imepasuka.Hahahaha mkuu nifah hawa watu wamepanic aisee, wanajipa moyo et system sasa hyo system haikujua kama kumkata jina kamanda lowasa itakuwa ni threat kwa afya ya chama na system yake? Au system nayo ililala usingizi.
CCM kwisha habari yao mwaka huu.Hawa wameona kigumu sasa wanataka mbeleko ya kitengo mwaka uu wanalo sana. Wamechokwa kabisa.
Kwisha Mara ngapi mwezi wa kumi wananchi watawanyoosha kwenye sanduku la kura hamna cha kitendo wala nini hapo.CCM kwisha habari yao mwaka huu.
Hahahaaaaa tuendelee kuomba Mungu jamani tufanikiwe kuyatoa haya majangili ya rasilimali za taifa madarakani.Kwisha Mara ngapi mwezi wa kumi wananchi watawanyoosha kwenye sanduku la kura hamna cha kitendo wala nini hapo.
Kuna mdau hapo juu kasema system yenyewe imepasuka.
Kuna waliokasirishwa baada ya mzee kukatwa hivyo huyu mtoa mada asitegemee mbeleko ya kitengo safari hii.
Hawa wameona kigumu sasa wanataka mbeleko ya kitengo mwaka uu wanalo sana. Wamechokwa kabisa.
Kabisa kila mtu ameyachokaa mana yanajifanya Mungu watu, wana hati miliki na nchi wakati ni ya Watanzania wote.Hahahaaaaa tuendelee kuomba Mungu jamani tufanikiwe kuyatoa haya majangili ya rasilimali za taifa madarakani.
Vijana wameshaelewa somo tatizo ni wazee, tuhakikishe kila mtu anatumia nafasi yake kuwahamasisha.Kabisa kila mtu ameyachokaa mana yanajifanya Mungu watu, wana hati miliki na nchi wakati ni ya Watanzania wote.
Yeah mi kila sehemu yanawaelimisha. Kilichonitia moyo kwenye kujiandikisha niliona vijana wengi I hope hawatafanya makosa. Tuna hitaji mabadiliko hizi siasa zisizo saidia mwananchi lazma zikomeshwe kabisa. Na mwezi wa kumi ni mnyoosho kwa kwenda mbeleVijana wameshaelewa somo tatizo ni wazee, tuhakikishe kila mtu anatumia nafasi yake kuwahamasisha.
Mabadiliko yataletwa na sisi kwa pamoja tukishirikiana.