Ebu eleza vizuri maaana haueleweki floor za kukaa hostel zinahusiana vipi na watu kupungua? ebu tiririkaaaaa!!!
Mbona unakua mgum wa kuelewa nn ambacho huelewi apo, acha uzuzu km huna cha kuchangia kaa kmya.
Floor za kukaa hostel ni ground floor na first floor uku coed, inamanisha ppl wamepungua sana au?