Hili laweza kuwa vazi la taifa

Hili laweza kuwa vazi la taifa

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,066
Reaction score
454
JK katika mkutano wa wawekezaji wa madini,mafuta nk.
VAZI LA TAIFA.jpg
 
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.
 
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.
hivi nchi zote zina matatizo ya kifikra kama tz au yetu yamezidi?
 
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.

Mbona kama unatulazimisha tuvae khanga kwa vile tu kabila lenu hamjui nguo zingine. Kwa kifupi ni kwamba Tanzania ina makabila 126 na kila moja lina mipango yake. Suala la wanaume kuvaa khanga acha liendelee huko kwenu huku tunahitaji MAENDELEO YA TAIFA NA SIO MAVAZI.

Utamaduni haupigiwi kura bana
 
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.
Si lazima kuiga Nigeria, Ghana au nchi nyingine kwenye Vazi la Taifa!! tuweza kuweka rangi za benadera ya Taifa kama tunaona inafaa/inapendeza!!
 
Hii nchi taabu sana........tumeletewa mjadala mpya wa kutuondolea concentration on important issues ambazo nyingi ni setbacks

Haya kwa mfano ndo tumelipata hilo vazi then????????
 
sasa mbona lina rangi nyeusi, au nchi iko msibani inaomboleza!?

Hivu Mh. Ngeleja akiwaga na JK kama hivi huwa anawaza nini kati ya haya?? ...."jk amenibeba aisee" au "jk alitambua uwezo wangu na kunipa wizara nyeti kama hii"
 
Si lazima kuiga Nigeria, Ghana au nchi nyingine kwenye Vazi la Taifa!! tuweza kuweka rangi za benadera ya Taifa kama tunaona inafaa/inapendeza!!

Kuna mambo mengi ya muhimu ya kufikiria kuliko kupoteza muda kufikiria vazi la Taifa wakati hata hivyo viwanda vya kutengeneza hizo nguo havina umeme!!Hii ni mbinu ya Nchimbi kutaka kupata upenyo wa kutuibia fedha azipeleke kwenye kampeni yake ya kutaka eti nae agombee urais 2015!!
 
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.

Watu wengi wanashindwa kutofautitsha kati ya vazi la taifa na sare ya taifa,kama kila mtu atavaa shati kama la JK hiyo itakuwa sare.
 
Watanzania, eti linaafutwa vazi la taifa, vazi la taifa ni kipande cha ngozi kuzuia tupu na juu wazi. Hilo ndio la enzi na enzi, ukitoka hapo kanzu na kofia kwa wanaume, khanga mbili kwa wanawake.

Kanzu na kofia, kwanza lina heshima, linavaliwa na wote, wakristo na waislaam na khanga ni hivyo hivyo. Nini zaidi?
 
Kuchekacheka huku ndio kunamsababisha Bi. Kiroboto kusahau shida za wanawake wenzake


Mahalu alidai kuwa katika mazungumzo hayo, Kikwete alimuuliza mama huyo, "Hivi ni kwanini kunakuwa na mikataba miwili? na mama huyo alimjibu kuwa hiyo ni kawaida kwa Italia ukitaka kununua jengo kwa bei nafuu.

Profesa Mahalu aliendelea kudai kuwa baada ya kupewa jibu hilo, Kikwete hakuzungumza tena zaidi ya kucheka na kwamba mwenye jengo alimkumbusha kuhusu malipo ya awali ya Dola za Marekani milioni moja ambapo aliafiki na kuahidi kuwa zingelipwa kabla ya mwisho wa mwaka.
 
Una uhakika gani kwamba vazi la taifa ni kanga?
 
Back
Top Bottom