KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
hivi nchi zote zina matatizo ya kifikra kama tz au yetu yamezidi?vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.
hivi nchi zote zina matatizo ya kifikra kama tz au yetu yamezidi?
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.
Si lazima kuiga Nigeria, Ghana au nchi nyingine kwenye Vazi la Taifa!! tuweza kuweka rangi za benadera ya Taifa kama tunaona inafaa/inapendeza!!vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.
sasa mbona lina rangi nyeusi, au nchi iko msibani inaomboleza!?
Huyu dada aliyevaa sare na mkulu ndio nani?
![]()
Si lazima kuiga Nigeria, Ghana au nchi nyingine kwenye Vazi la Taifa!! tuweza kuweka rangi za benadera ya Taifa kama tunaona inafaa/inapendeza!!
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.
Kuchekacheka huku ndio kunamsababisha Bi. Kiroboto kusahau shida za wanawake wenzake