Hili laweza kuwa vazi la taifa

Mahalu alidai kuwa katika mazungumzo hayo, Kikwete alimuuliza mama huyo, "Hivi ni kwanini kunakuwa na mikataba miwili? na mama huyo alimjibu kuwa hiyo ni kawaida kwa Italia ukitaka kununua jengo kwa bei nafuu.

Profesa Mahalu aliendelea kudai kuwa baada ya kupewa jibu hilo, Kikwete hakuzungumza tena zaidi ya kucheka na kwamba mwenye jengo alimkumbusha kuhusu malipo ya awali ya Dola za Marekani milioni moja ambapo aliafiki na kuahidi kuwa zingelipwa kabla ya mwisho wa mwaka.
hahahahahaaaa!!........

Lakini akiambiwa kama mnataka msaada inameni.....ananuna!!!!

images
 
hahahahahaaaa!!........

Lakini akiambiwa kama mnataka msaada inameni.....ananuna!!!!

images

Hahahahahahahahahahahah!!! mwe!! .........hi ni lazima niifadhi kwenye maktaba yangu maana huyu Baba Mwanaasha yeye muda wote ni kuchekacheka tu, kumbe akiambiwa shika ukuta ananuna!! kweli wazungu mwisho.
 
vaz la taifa k2 gan? kuna issue za maana za kufanya nashangaa wanapigia promo vaz la taifa
 
naona kuna watu nao washavurugwa akili na siasa chafu-nao wanatafuta vazi la taifa-hata aibu hawana
 
Frankly, I hate this vazi la Taifa nonsense! Hatuwezi ku-mobilise watu wetu kufanya kitu chenye manufaa zaidi?
 
Wananchi wengi tunavaa mitumba tu. Sasa vazi la taifa sijui la nini!! Badala ya kutulia na kuona namna gani tunaweza kujikomboa kutoka kwenye lindi la umaskini eti tunaunda kamati ya vazi la taifa. Upuuzi gani huu. Ptuuuuuuu!!!
 
vazi la taifa sio bendera ya taifa.hiyo ni bendera ya taifa. Angalia wa nigeria na waghana wanavyovaa. Kuna bendera kwenye mavazi yao. VAZI LETU LATAIFA NI KHANGA. Lakini hii mijitu inapoteza muda bure kutafuta vazi lataifa.Huu ni umasikini wa akili.

Vazi letu la Taifa liwe Magwanda.
 
hivi nchi zote zina matatizo ya kifikra kama tz au yetu yamezidi?

Sisi hatuna matatizo ya kufikiri, bali tunafikiri mno mpaka tunapitiliza point kwani vazi la Taifa halitafutwi kwenye midahalo na makongamano, bali ni vazi linalotokana na utamaduni na desturi za kabila kubwa katika nchi. Sasa sisi woote wajanja tunajua kuliko hali halisi ya kitu chenyewe!
 
Back
Top Bottom