Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,651
- 5,126
Mimi binafsi kama Fumadilu Kalimanzila toka ulipoteuliwa kuwa Waziri wa Nishati na ukaanza kuunda Bodi ya TANESCO na haraka sana hata kabla ya kutembelea miradi uliyokuta chini ya Wizara yako kama ule wa Nyerere Hydropower (Stiglers Gorge) ukakimbilia ubalozi wa Marekani kuanza kuomba misaada katika sekta ya Nishati nikaanza kutilia shaka uwezo wako ambao nasema frankly uko overrated!
Makala zangu kuhusu hayo maamuzi yako ya uundaji wa Bodi ya TANESCO na kukimbilia misaada kutoka Marekani ziko humu JF unaweza kuzi- retrieve ukitaka.
Kama nilivyodokeza kwenye Heading ni kwamba tunakutahadharisha ( nasema tunakutahadharisha sisi "like minded people") kuhusu hili la mazingira mnayojenga ya kuilipa Symbion Tshs.bilioni 356 za Watanzania!
Mhe.January toka mwanzo nilikwambia kuwa hii wizara ya Nishati kwa zaidi ya miongo mitatu ndiyo imekuwa " cash cow" kwa wapiga deals kubwa hapa Nchini kuanzia "dubious deals" za IPTL, RICHMOND,DOWANS, TEGETA ESCROW etc.
Na wewe Mhe. January ulipoingia tu Wizara ya Nishati ukaanza na " escape velocity" , tumeona haraka ukawapa wale wahindi contract ya management software ya dola milioni 30 ( karibia bilioni 70 za Tz)! Mchakato wa zabuni hiyo haueleweki!
Tumeona sasa kwa muda wa miezi kadhaa umeme umekuwa ni katika katika! Ukihojiwa na Wabunge na wananchi unasema wanaohoji hawakupenda Mhe.Samia awe Rais wa JMT!
Suluhisho mlilotoa hivi majuzi baada ya kuondoa mambo ya kuwaunganishia wananchi umeme kwa Tshs.27,000/= kama alivyoacha Hayati Magufuli ni sasa kampuni binafsi kuruhusiwa kuwaunganishia wananchi umeme.
Na tunajua kupitia Makampuni yenu hayo mtawaunganishia Wananchi umeme kwa bei tunazoita " cut throat prices "! yaani bei za kukata koo za wananchi!
Hili la Symbion kulipwa Tshs.356 bilioni nalo tuliona mlianza kulijengea mazingira mapema tu baada ya ripoti ya CAG kutoka.
Tunaojua ku- connect dots tukaona mercenary soldier (askari wa kulipwa) wenu Zitto Kabwe akaanza kwa kumkashifu Hayati Rais Magufuli kwa kila namna! Mara Rais fisadi ever kuwahi kutokea Tanzania, Mara wanaompenda wakajizike pembeni yake Chato ( aibu sana kwa mnafiki huyo)!
Sasa leo mnakuja na maneno ya kijinga ( nasema kijinga siyo kipumbavu) eti Symbion walipwe bilioni 356 kwa kuwa Hayati Magufuli alivunja mikataba yao kinyemela!
Halafu kwa ujinga mnaweka na mapicha eti walishindwa kulipa hadi Wafanyakazi!
Mhe.January Makamba kaeni mkijua kama alivyowahi kusema Hayati Rais Magufuli kwamba Watanzania si wajinga! Nami nakazia kuwa Watanzania wote si wajinga!!
Tunakuomba Mhe.Waziri January Makamba tuambie sisi Watanzania kabla humjawalipa Symbion bilioni zetu 356 ni Mahakama gani hiyo ime- adjudicate na kusema Mkataba wao ulivunjwa kinyemela na kuwa- award hiyo decree mnayokwenda kuwalipia hiyo bilioni 356!!
Tunaomba Namba ya hiyo Case nasi tuweze kujiridhisha na kama kuna grounds za Appeal tuweze kushauri!
Na kama mtawalipa bila kuwa wazi basi hizo mtakazolipa ni fedha zenu si za Watanzania na mkae mkijua IPO siku mtazirejesha !!!
Makala zangu kuhusu hayo maamuzi yako ya uundaji wa Bodi ya TANESCO na kukimbilia misaada kutoka Marekani ziko humu JF unaweza kuzi- retrieve ukitaka.
Kama nilivyodokeza kwenye Heading ni kwamba tunakutahadharisha ( nasema tunakutahadharisha sisi "like minded people") kuhusu hili la mazingira mnayojenga ya kuilipa Symbion Tshs.bilioni 356 za Watanzania!
Mhe.January toka mwanzo nilikwambia kuwa hii wizara ya Nishati kwa zaidi ya miongo mitatu ndiyo imekuwa " cash cow" kwa wapiga deals kubwa hapa Nchini kuanzia "dubious deals" za IPTL, RICHMOND,DOWANS, TEGETA ESCROW etc.
Na wewe Mhe. January ulipoingia tu Wizara ya Nishati ukaanza na " escape velocity" , tumeona haraka ukawapa wale wahindi contract ya management software ya dola milioni 30 ( karibia bilioni 70 za Tz)! Mchakato wa zabuni hiyo haueleweki!
Tumeona sasa kwa muda wa miezi kadhaa umeme umekuwa ni katika katika! Ukihojiwa na Wabunge na wananchi unasema wanaohoji hawakupenda Mhe.Samia awe Rais wa JMT!
Suluhisho mlilotoa hivi majuzi baada ya kuondoa mambo ya kuwaunganishia wananchi umeme kwa Tshs.27,000/= kama alivyoacha Hayati Magufuli ni sasa kampuni binafsi kuruhusiwa kuwaunganishia wananchi umeme.
Na tunajua kupitia Makampuni yenu hayo mtawaunganishia Wananchi umeme kwa bei tunazoita " cut throat prices "! yaani bei za kukata koo za wananchi!
Hili la Symbion kulipwa Tshs.356 bilioni nalo tuliona mlianza kulijengea mazingira mapema tu baada ya ripoti ya CAG kutoka.
Tunaojua ku- connect dots tukaona mercenary soldier (askari wa kulipwa) wenu Zitto Kabwe akaanza kwa kumkashifu Hayati Rais Magufuli kwa kila namna! Mara Rais fisadi ever kuwahi kutokea Tanzania, Mara wanaompenda wakajizike pembeni yake Chato ( aibu sana kwa mnafiki huyo)!
Sasa leo mnakuja na maneno ya kijinga ( nasema kijinga siyo kipumbavu) eti Symbion walipwe bilioni 356 kwa kuwa Hayati Magufuli alivunja mikataba yao kinyemela!
Halafu kwa ujinga mnaweka na mapicha eti walishindwa kulipa hadi Wafanyakazi!
Mhe.January Makamba kaeni mkijua kama alivyowahi kusema Hayati Rais Magufuli kwamba Watanzania si wajinga! Nami nakazia kuwa Watanzania wote si wajinga!!
Tunakuomba Mhe.Waziri January Makamba tuambie sisi Watanzania kabla humjawalipa Symbion bilioni zetu 356 ni Mahakama gani hiyo ime- adjudicate na kusema Mkataba wao ulivunjwa kinyemela na kuwa- award hiyo decree mnayokwenda kuwalipia hiyo bilioni 356!!
Tunaomba Namba ya hiyo Case nasi tuweze kujiridhisha na kama kuna grounds za Appeal tuweze kushauri!
Na kama mtawalipa bila kuwa wazi basi hizo mtakazolipa ni fedha zenu si za Watanzania na mkae mkijua IPO siku mtazirejesha !!!