Hili la Symbion kulipwa Tshs. Bilioni 356, January Makamba tunakutahadharisha mapema

Kwa serikali hii ni kama kutwanga maji kwenye kinu kuchukia ufisadi. Leo bi tozo anadai wazungu walivyoona misitu wacha wamkimbilie na deal za carbon trading.

Miaka yote watu wanapiga kelele humu ata huo uwekezaji wa green technologies in Africa ni part ya hizo hizo carbon trading otherwise hakuna mzungu mwenye akili timamu atakuja kuwekeza ivyo vitu africa, kibaya zaidi hizo cost za uwekezaji unaenda zilipa wewe mtanzania. TANESCO awawezi zi cover hizo costs ata wao wenyewe kupata faida shida sasa kwanini wana sign mikataba ya aina hiyo wakitoka nje ya nchi.

Hii nchi bila ya Magufuli mwingine tena mkali zaidi kushinda Magufuli original tu atuendi; kuna watu awataki kubadilika na hapo ndio kwenye vita kubwa zaidi.

Watanzania tunachukulia vitu poa sana.
 
Omba ofisi ya Mwanasheria wa serikali sio kumlaumu Waziri ambaye ni msimamizi tu wa sera wizarani. Labda nikuulize tu January anahusika nini na kesi za kuvunjwa mikataba zilizofunguliwa na kampuni mbalimbali? Wakati wa JPM serikali imelipa sh ngapi kwa kesi za kuvunja mikataba? Uliwahi kudai namba ya hizo kesi au kulalamika? Kwanini iwe sasa?
Jaribu kushughulisha kichwa chako! Tunachotaka kujua ni undani wa hiyo Case kama ilikuwepo, na kama ni kulipa kwa nini malipo ya Symbion yawe haraka hivyo.Kumbuka kuna case ya Vhalambia ya ku- supply vifaa wakati wa Vita ya Kagera Serikali yetu haijalipa.
Hiyo Case ya Symbion ilifunguliwa lini na wapi? Je ilifunguliwa wakati wa Hayati Magufuli au baada ya kifo chake? Naona wewe unafurahia sana hizo fedha za Watanzania kukwapuliwa na hao Wahuni! Tupe hizo details.
 
Wewe mwenye akili umesaidiaje Symbioni wasilipwe?
Sijasema mimi nina akili, nilichoelezea ni facts; wenye jukumu la kupinga na ku justify hizo damages za kutengeneza ni mawakili wa serikali wenye info zote.

Binafsi nimekumbushia tu historia ya mzozo ulipoanzia hakuna mkataba uliovunjwa katikati, ni extension tu ndio Symbion walinyimwa.
 
Omba ofisi ya Mwanasheria wa serikali sio kumlaumu Waziri ambaye ni msimamizi tu wa sera wizarani. Labda nikuulize tu January anahusika nini na kesi za kuvunjwa mikataba zilizofunguliwa na kampuni mbalimbali? Wakati wa JPM serikali imelipa sh ngapi kwa kesi za kuvunja mikataba? Uliwahi kudai namba ya hizo kesi au kulalamika? Kwanini iwe sasa?
Naona una Maslahi na jambo hili. Hata mi siafiki kinachoenda kufanyika, piga poroko zako kwa kuwa unayo maslahi huko
 
Jaribu kushughulisha kichwa chako! Tunachotaka kujua ni undani wa hiyo Case kama ilikuwepo, na kama ni kulipa kwa nini malipo ya Symbion yawe haraka hivyo.Kumbuka kuna case ya Vhalambia ya ku- supply vifaa wakati wa Vita ya Kagera Serikali yetu haijalipa.
Hiyo Case ya Symbion ilifunguliwa lini na wapi? Je ilifunguliwa wakati wa Hayati Magufuli au baada ya kifo chake? Naona wewe unafurahia sana hizo fedha za Watanzania kukwapuliwa na hao Wahuni! Tupe hizo details.
Hayo maswali yako yanapatikana kwa mwanasheria mkuu wa sirikali
 
Makamba, Makamo mwenyekiti, ukanda wote wa Msoga... HAWA KIHISTORIA NI MAJIZI , NI MAJIZI NA HAYANA HURUMA YOYOTE YA NCHI HII.


kinachoniuma, Tuna Taasisi ya Usalama Mbovu mbovu kupindukia, wao wanadeal na Wapinzani tu.


Haya, Katiba ya Nchi nayo pamoja na Ubovu wake wote, IMEKOSWA KIONGOZI WA KUISIMAMIA .





ITACHUKUA MIAKA MINGI SANA KUMPATA MAGUFULI MPYA.


saizi Kila mtu anajipigia, shamba la bibi!!!.... Anasimama mtu anakuambia "Nimeamua kufanya hii ROYO TUWA , kuitangaza nchi !!


Ujinga na Aibu kubwa ilofadhiliwa na wafanyabiashara ambao Sasa ndio wanaenda kulipwa mabilioni.
Hapa mwamba tameer 'amelike", "ajadislike".
 
Omba ofisi ya Mwanasheria wa serikali sio kumlaumu Waziri ambaye ni msimamizi tu wa sera wizarani. Labda nikuulize tu January anahusika nini na kesi za kuvunjwa mikataba zilizofunguliwa na kampuni mbalimbali? Wakati wa JPM serikali imelipa sh ngapi kwa kesi za kuvunja mikataba? Uliwahi kudai namba ya hizo kesi au kulalamika? Kwanini iwe sasa?
Anahusika yeye na zitto wakati wa kusaini mkataba wa symbion kipindi cha JK...kama leo serikali inaamua kulipa symbion wahusika wote walioshiriki kuasisi na kusaini huu mkataba mbovu watajwe na wachukuliwe hatua kali kama wahujumu uchumi ..ni ukweli kwamba kama serikali isingevunja huu mkataba hasara ingekuwa kubwa kuliko hii


Sent using Jamii Forums mobile app
 
January anahusika nini na seriksli kushindwa kesi na Symbion? Kesi zote za serikali zinasimamiwa na ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, kwahiyo kama ni lawama na vitisho vyako ungevielekeza huko. Nyinyi ndio mnaotufanya tuamini vita yenu na January ni zaidi ya tujuavyo, kuna kitu nyuma ya pazia!
Mbaya zaidi mmeshindwa kuficha chuki yenu mmebaki kumshambulia January kwa kila jambo hata lisilomhusu. January kama waziri hana maamuzi wala hahusiki na kesi inazoshitakiwa serikali , na tena hana maamuzi ya kuamua km serikali ilipe madeni au la! Hebu mwacheni jamaa afanye kazi
Kesi ilikuwa mahakama gani? Ni kesi namba ngapi? Mbona tumeisikia juzi juzi tu zaman haikusikika?
 
January anahusika nini na seriksli kushindwa kesi na Symbion? Kesi zote za serikali zinasimamiwa na ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, kwahiyo kama ni lawama na vitisho vyako ungevielekeza huko. Nyinyi ndio mnaotufanya tuamini vita yenu na January ni zaidi ya tujuavyo, kuna kitu nyuma ya pazia!
Mbaya zaidi mmeshindwa kuficha chuki yenu mmebaki kumshambulia January kwa kila jambo hata lisilomhusu. January kama waziri hana maamuzi wala hahusiki na kesi inazoshitakiwa serikali , na tena hana maamuzi ya kuamua km serikali ilipe madeni au la! Hebu mwacheni jamaa afanye kazi
Nyanoko mnamva,jaga ukalambe loshindo lwang'wa Makamba mnambiti ote na masala!
 
January anahusika nini na seriksli kushindwa kesi na Symbion? Kesi zote za serikali zinasimamiwa na ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, kwahiyo kama ni lawama na vitisho vyako ungevielekeza huko. Nyinyi ndio mnaotufanya tuamini vita yenu na January ni zaidi ya tujuavyo, kuna kitu nyuma ya pazia!
Mbaya zaidi mmeshindwa kuficha chuki yenu mmebaki kumshambulia January kwa kila jambo hata lisilomhusu. January kama waziri hana maamuzi wala hahusiki na kesi inazoshitakiwa serikali , na tena hana maamuzi ya kuamua km serikali ilipe madeni au la! Hebu mwacheni jamaa afanye kazi
Nyanoko mnamva,jaga ukalambe loshindo lwang'wa Makamba mnambiti ote na masala!
 
Mimi binafsi kama Fumadilu Kalimanzila toka ulipoteuliwa kuwa Waziri wa Nishati na ukaanza kuunda Bodi ya TANESCO na haraka sana hata kabla ya kutembelea miradi uliyokuta chini ya Wizara yako kama ule wa Nyerere Hydropower (Stiglers Gorge) ukakimbilia ubalozi wa Marekani kuanza kuomba misaada katika sekta ya Nishati nikaanza kutilia shaka uwezo wako ambao nasema frankly uko overrated!

Makala zangu kuhusu hayo maamuzi yako ya uundaji wa Bodi ya TANESCO na kukimbilia misaada kutoka Marekani ziko humu JF unaweza kuzi- retrieve ukitaka.

Kama nilivyodokeza kwenye Heading ni kwamba tunakutahadharisha ( nasema tunakutahadharisha sisi "like minded people") kuhusu hili la mazingira mnayojenga ya kuilipa Symbion Tshs.bilioni 356 za Watanzania!

Mhe.January toka mwanzo nilikwambia kuwa hii wizara ya Nishati kwa zaidi ya miongo mitatu ndiyo imekuwa " cash cow" kwa wapiga deals kubwa hapa Nchini kuanzia "dubious deals" za IPTL, RICHMOND,DOWANS, TEGETA ESCROW etc.

Na wewe Mhe. January ulipoingia tu Wizara ya Nishati ukaanza na " escape velocity" , tumeona haraka ukawapa wale wahindi contract ya management software ya dola milioni 30 ( karibia bilioni 70 za Tz)! Mchakato wa zabuni hiyo haueleweki!

Tumeona sasa kwa muda wa miezi kadhaa umeme umekuwa ni katika katika! Ukihojiwa na Wabunge na wananchi unasema wanaohoji hawakupenda Mhe.Samia awe Rais wa JMT!

Suluhisho mlilotoa hivi majuzi baada ya kuondoa mambo ya kuwaunganishia wananchi umeme kwa Tshs.27,000/= kama alivyoacha Hayati Magufuli ni sasa kampuni binafsi kuruhusiwa kuwaunganishia wananchi umeme.

Na tunajua kupitia Makampuni yenu hayo mtawaunganishia Wananchi umeme kwa bei tunazoita " cut throat prices "! yaani bei za kukata koo za wananchi!

Hili la Symbion kulipwa Tshs.356 bilioni nalo tuliona mlianza kulijengea mazingira mapema tu baada ya ripoti ya CAG kutoka.

Tunaojua ku- connect dots tukaona mercenary soldier (askari wa kulipwa) wenu Zitto Kabwe akaanza kwa kumkashifu Hayati Rais Magufuli kwa kila namna! Mara Rais fisadi ever kuwahi kutokea Tanzania, Mara wanaompenda wakajizike pembeni yake Chato ( aibu sana kwa mnafiki huyo)!

Sasa leo mnakuja na maneno ya kijinga ( nasema kijinga siyo kipumbavu) eti Symbion walipwe bilioni 356 kwa kuwa Hayati Magufuli alivunja mikataba yao kinyemela!
Halafu kwa ujinga mnaweka na mapicha eti walishindwa kulipa hadi Wafanyakazi!

Mhe.January Makamba kaeni mkijua kama alivyowahi kusema Hayati Rais Magufuli kwamba Watanzania si wajinga! Nami nakazia kuwa Watanzania wote si wajinga!!

Tunakuomba Mhe.Waziri January Makamba tuambie sisi Watanzania kabla humjawalipa Symbion bilioni zetu 356 ni Mahakama gani hiyo ime- adjudicate na kusema Mkataba wao ulivunjwa kinyemela na kuwa- award hiyo decree mnayokwenda kuwalipia hiyo bilioni 356!!

Tunaomba Namba ya hiyo Case nasi tuweze kujiridhisha na kama kuna grounds za Appeal tuweze kushauri!

Na kama mtawalipa bila kuwa wazi basi hizo mtakazolipa ni fedha zenu si za Watanzania na mkae mkijua IPO siku mtazirejesha !!!
Hizo Hela alipe Kalemani, ndiye alikuwa Waziri wakati huo, akishindwa Mali zake na za JPM ziuzwe kupata hiyo fedha
 
Hii issue ya Symbion kama sijakosea naamini ilikuwepo tangu awamu ya nne, kwa kifupi niseme January amekuta tayari kuna tatizo kwa hiyo anahusika kulishughulikia (kuwalipa hao jamaa). Hapa labda ahukumiwe kwa connection iliyopo kati yake na Msoga.

Ila kuna sehemu nakubaliana nawe uliposema hawa watu hufurahia wakipewa madaraka ili wapige dili, mfano wa hili ni ule mkataba wa maintanance wa $30mil walioingia Tanesco hivi karibuni.

Na kwasababu tayari palishakuwepo na uhusiano usiofaa kati ya January Makamba na wapiga dili wengine akiwemo dada yake wa damu siku za nyuma, basi huyu jamaa hawezi kujinusuru na lawama anazotupiwa sasa, kwasababu tayari image yake ilishachafuka toka kitambo.
Soma hapa kesi iliamuliwa toka 2019
 
Kiukweli hayo yanayoendelea ipo siku waliokuwa na dhamana watajibu. Hata hivyo wanaamini kwa sasa baada ya kumuweka makamu mwenyekiti bara ambaye ni mtu wao kuwa hakuna raisi atakayeingia madarakani ambaye anamlengo wa kushoto na wao.narudia ipo siku watajibu utapel huu unaofanyika
 
Back
Top Bottom