Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 187
- 334
Naomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?