Habari jf ,nadhani kuna muda taifa linahitaji kuwa serious katika baadhi ya Mambo.
Hivi unawezaje ruhusu vijana ambao hawaiva vizuri wakaingia mtaani? Law school wameonyesha mfano kwa kurudisha vijana wengi walio shindwa mtihani, Elimu ya Chuo lazima iheshimiwe.
Sheria ina Uamuzi mkubwa katika maisha ya watu.
Afya ina maamuzi juu ya Uhai watu.
Kuna haja ya vijana hawa walio sehemu muhimu kama hizi kupikwa vilivyo na tuwapongeze law school.
Hivi unawezaje ruhusu vijana ambao hawaiva vizuri wakaingia mtaani? Law school wameonyesha mfano kwa kurudisha vijana wengi walio shindwa mtihani, Elimu ya Chuo lazima iheshimiwe.
Sheria ina Uamuzi mkubwa katika maisha ya watu.
Afya ina maamuzi juu ya Uhai watu.
Kuna haja ya vijana hawa walio sehemu muhimu kama hizi kupikwa vilivyo na tuwapongeze law school.