Hili game: Hivi ni nani Starring?

Hili game: Hivi ni nani Starring?

haya tuma hela yangu haraka nishamjibu Kiranga, na kanipa tiki kwa sababu nimepata majibu yote

Hahaha at "kanipa tiki".

Kama profesa nasahihisha hapo ungepewa "not even wrong".
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingi anayesemaga Poh ni mwanamke, mwanamke ni kutokana na maumbile yake ndo masks inakuwa hivo.
Na ndio maana mwanamke hata kama hana hamu(chini kukavu) kunaingilika tu, lakini mwanamme kama hana hamu hakuna unachoweza fanya, mfano kwenye kubaka/kubakwa, mwanamke ni rahisi lakini mwanamme hawezi kubaka kwa kulazimisha. N.a. ukiona ameweza jua anajuana na hao walazimishi
 
Hahaha at "kanipa tiki".

Kama profesa nasahihisha hapo ungepewa "not even wrong".
Halafu wewe, leta posa basiii, mbona wauweka usiku weye, sasa waja lini huku Visiwani?
 
couple-in-bed.png



Mabibi na Mabwana le ninalo swali naomba mnipe majibu ya yakini. Hivi kwenye tendo la kujamiiana ni nani starring kati na mtu mume na mtu mke? Yaani ni nani anayepiga game mpaka mwisho na akaonekana bado yuko imara kuendelea?

Nauliza hivyo kwa sababu kuna kitu nimegundua lakini mfumo dume umemudu kuficha ukweli na na kufanya mambo yaonekane tofauti na uhalisia.

Hivi ni kwa nini mwanamke akifika kileleni anaweza kuendelea kupiga game tofauti na mwanaume akishamaliza ngoma inalala doro na mchezo unakuwa umekwisha anageukia ukutani na kupiga usingizi huku akikoroma?

Ni vyema kutafakari ili tusinyoosheane vidole wakati ukweli unajulikana wazi kwamba starring ni nani, lakini kwa sababu ya kusitiri ego zao inabidi tuwe wapole na kuwapa vichwa maana waliaminishwa kwamba wao ni vichwa vya nyumba.


CC: Asprin, Bazazi KakaKiiza, Kaizer, Ruttashobolwa, Teamo, Nyani Ngabu, Kiranga, Mndengereko, mwekundu, Mentor, watu8, C6 Jiwe Linaloishi, Filipo, Arushaone, Mr Rocky, Erickb52, PakaJimmy, ayanda, Eiyer

Hii ni kufuru, nenda kwenye imani yako katubu na utowe sadaka, yani Mungu wako ni mwehu aliposema mwanaume ni kichwa? I can't believe this.
 
Halafu wewe, leta posa basiii, mbona wauweka usiku weye, sasa waja lini huku Visiwani?

Wewe nimesikia kuchikichia posa ndo mtindo wako, unawapanga, unakula posa, halafu huonekani.

Yule muarabu mwenye visima vya mafuta Muscat ushamrudishia posa yake kwanza?

Mimi nishaamua kuwa mtawa, nafuata nyayo za Yesu.
 
Wewe nimesikia kuchikichia posa ndo mtindo wako, unawapanga, unakula posa, halafu huonekani.

Yule muarabu mwenye visima vya mafuta Muscat ushamrudishia posa yake kwanza?

Mimi nishaamua kuwa mtawa, nafuata nyayo za Yesu.
Yesu ni Mungu, wewe ni Mungu?
 
Yesu ni Mungu, wewe ni Mungu?

Nafuata nyayo son, as in Yesu hakuoa na mimi sioi. Sometime I have to cite a known figure, it's not like everybody would be familiar with Osiris or Imhotep. I have been accused of being cryptic and indecipherable.

Story yenyewe ndefu, Zinduna dili lake kuwaotea watu wapeleke posa halafu anatokomea, anatafuta mjuba mwingine anampiga hivyo hivyo.

Sasa mie bado kidogo aniweke sawa, ila katika kumuweka katika ma database nikaona kuna waarabu kibao kawapanga.

I dodged the bullet
I googled the fullest
I ogled the coolest schule
I fangled the purest
Analysis surest

Ndiyo maana unaona ananikumbushia.habari za posa na mimi namwambia nishaamua kuwa mtawa in that context.

Lakini hata ukitaka niende kwenye kujenga hoja kwamba mimi ni mungu inawezekana pia.

Hata wewe ni mungu pia.

Ila kuna wengine hawajatambua uungu wao.

Of course it all rests on your definition of "mungu".

Peace to the gods, Wu-Tang.

May all beings attain enlightenment.
 
Na wale wanaosagana nani anakuwa starring? Nijibu kwanza hili.
 
Wote wanapaswa kuwa mastar...mdogo wangu Zinduna ukikuwa utalijua hili
 
Last edited by a moderator:
Unatakiwa ujue kuwa mwanaume akimaliza kupiga game nikama amesukuma gari lenye uzito wa ton 2 kutokana na Calories anzo burn Hivyo usione ule uji unatoka ukadhani unatoka karibu najiulize unatengenezwa baada ya siku ngapi nazaidi ukifanya kuzidisha zaidi unakojoa damu!!Hupo my Zinduna??

Hahahahahahahah.nimeongeza siku ya kuishi.kumbe ndo inakuwaga hvyo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom