Hili game: Hivi ni nani Starring?

Hili game: Hivi ni nani Starring?

Halafu weye ni mbishi ka nini?
Hivi wewe ni Mluguru au?

Ha ha haaa mimi Mkaguru, Mluguru mama yangu....
Nataka semester ya pili ukija hapa uje ni mshiriki mwenzako ili tuje tuwape debate huru hapa tujue nani bingwa muwapo mzigoni!
 
Acha uongo, wanaume wenzako wote wamekubali maudhaifu yao weye tu waleta za kuleta

kuzalisha mbegu za uzazi ni kazi inayohusisha mfumo mkubwa wa mwili kuliko mwili kutoa maji, au jasho au machozi.hilo wapasa kujua. kikubwa tuko tofauti sio mapungufu.
 
Hapa nimezungumzia wapenzi wanaopendana kwa dhani na wanapotaka kulifanya tendo kwa burudani, sijazungumzia kubakwa. sasa kama mwanaume kamaliza na mwanamke bado anataka game lichezeke na mwanaume ni kwanza anageukia ukutani nani sterring hapo?

hahaaaa nilikuwa sijaelewa kumbe..................
 
Hapa nimezungumzia wapenzi wanaopendana kwa dhani na wanapotaka kulifanya tendo kwa burudani, sijazungumzia kubakwa. sasa kama mwanaume kamaliza na mwanamke bado anataka game lichezeke na mwanaume ni kwanza anageukia ukutani nani sterring hapo?
Hao wanaogeukia ukutani wakati demu ajafikishwa ni hawa wanaume wenu wala chips mayai na kushinda saloon kwa kuscrub uso mwanamume wa ukweli inabidi mwanamke akojoe kwanza!Mwanaume baadae.
 
Dereva akae nyuma abiria tuwe mbeleee
Tupige vigelegele tukishafika salamaaa.... salamaaaa...
nahodha akae mbele abirai tuwe nyuma.... lilikuwa bonge moja la pini kitu cha taarabu asilia mpk leo aliyeimbahajalifumbua lile fimbo kila mtu kabaki kuelewa alivyotaka
 
Labda nijibu kwa kuuliza swali. Bi Zinduna ni kwanini takwimu nyingi zinaonesha wahanga wakubwa wa ubakwaji ni wanawake tofauti na jinsia ya pili?
Hutanijibu lakini lemme tell you, maumbile ya mwanamke na mwanamume ni tofauti kama ujuavyo, ni rahisi sana mwanamke kulazimishwa kufanya tendo pendwa bila hata ridhaa yake ama kufanya tu kumridhisha opponent wake hata kama hajisikii wakati mwanaume ni tofauti kwamba kama dushelele likileta ugoi goi hakuna mtanange hapo unless futher notes. Kwa sababu hiyo inawezekana kwenye haya mambo hakuna bingwa ila mwenye jinsia ya kike anatumia advantage ya maumbile kuonesha bado yuko fit ilihali kusuuzika kwa nafsi in proportionally na anayesubiri kuutia kasi!

mkuu ahsante kwa maelezo mazuri uliyotuletea umemaliza kila kitu,
 
kuwa star wa mchezo kuna vigezo vingi vinazingatiwa, sio general formula kuwa kati ya mume au mwanamke mmoja wapo atakuwa star permanently, mfano naweza kukupelekesha Zinduna mpaka ukaomba pooo... ila nikirudi kwa my wife charminglady akanikimbiza mpaka nikaomba msamaha. Kwa iyo namaliza kwa kusema hakuna mshindi wa jumla jumla ila inategemea na muda, wahusika, mahali na vitu vingine viingi
 
Last edited by a moderator:
Hivi Zinduna hapo bazazi ni nani?

haalfu ukitaka kujua starring ni nani, hebu njoo nikuonyeshe kwa vitendo. Udereva wa gari haufundishwi tu darasani kuna na muda wa kufanya mazoezi, ndiposa unaweza kusema umefuzu


Na mkimaliza hivyo vitendo mkuje hapa mtuambie nani alikuwa starring......
 
Zinduna nime fall in love with your Avatar linanipa udenda
 
Last edited by a moderator:
couple-in-bed.png



Mabibi na Mabwana le ninalo swali naomba mnipe majibu ya yakini. Hivi kwenye tendo la kujamiiana ni nani starring kati na mtu mume na mtu mke? Yaani ni nani anayepiga game mpaka mwisho na akaonekana bado yuko imara kuendelea?

Nauliza hivyo kwa sababu kuna kitu nimegundua lakini mfumo dume umemudu kuficha ukweli na na kufanya mambo yaonekane tofauti na uhalisia.

Hivi ni kwa nini mwanamke akifika kileleni anaweza kuendelea kupiga game tofauti na mwanaume akishamaliza ngoma inalala doro na mchezo unakuwa umekwisha anageukia ukutani na kupiga usingizi huku akikoroma?

Ni vyema kutafakari ili tusinyoosheane vidole wakati ukweli unajulikana wazi kwamba starring ni nani, lakini kwa sababu ya kusitiri ego zao inabidi tuwe wapole na kuwapa vichwa maana waliaminishwa kwamba wao ni vichwa vya nyumba.


CC: Asprin, Bazazi KakaKiiza, Kaizer, Ruttashobolwa, Teamo, Nyani Ngabu, Kiranga, Mndengereko, mwekundu, Mentor, watu8, C6 Jiwe Linaloishi, Filipo, Arushaone, Mr Rocky, Erickb52, PakaJimmy, ayanda, Eiyer

hapo kwenye red nadhani umejumuisha kimakosa. wako wanaume na hapa huwa wanajieleza askari kanzu anavyoweza kuunganisha shift.
 
starring aliyekuleta Ghetto baaaaaasiiiiiiii!! ndo maana masai alimuambia mdada "acha iingie yenyewe" alihoji kutongoza kakutongoza nani mdada akajb wewe,msosi kaukulipia nani ww,gest amelipia nani ww .....sasa nasema "asa iingie yenyewe hamna kukatikia (in masai tune)"

hahaaaaaaah ....
 
hapo kwenye red nadhani umejumuisha kimakosa. wako wanaume na hapa huwa wanajieleza askari kanzu anavyoweza kuunganisha shift.

kuunganisha kwa mke? ni kweli unaweza unganisha mbili na sio nne. kumbuka huyu haongelei wapenzi ambao hukaa miaka na kukutana wakiwa na maugwadu , anaongelea mme na mke ambao mapenzi kwao sio ugwadu bali starehe. kijana wa miaka 20 anapobalee anaweza enda hata goli sita au nane kwa kuunganisha au kupishana dk 10 alkini hiyo huwa ndani ya siku mbili tatu mfululizo au wiki. kuunganisha to be honest huwa ni kwa mbili tu.
 
Umefanya uchunguzi wenye wigo mkubwa kiasi gani?

Margin of error yako ilikuwaje?

Methodology?

Sample space?

Control group?
 
Umefanya uchunguzi wenye wigo mkubwa kiasi gani?

Margin of error yako ilikuwaje?

Methodology?

Sample space?

Control group?

Manenahhhh

Huyu "dem' akijibu haya maswali anidai eateli mane fasta

Namba yangu ni +01 234 567 897!!!!!!!!
 
Mambo kama haya ni moja ya sababu ya kuiombea mema Jf na watu kama wewe
Zinduna, waombe mods wabadilishe neno "sterling" (jina la pesa za Kiingereza au mengine) ambalo nnauhakika haiwezi kuwa ndiyo maana uliyoikusudua kwenye mada, na liwe amma steering (anaeshika usukani) au starring (nyota wa mchezo). Na humo kwenye mada ufanye ka editing kubadili "sterling" na kuweka neno sahihi.
 
Umefanya uchunguzi wenye wigo mkubwa kiasi gani?

Margin of error yako ilikuwaje?

Methodology?

Sample space?

Control group?

Cheki majibu yako kwa rangi nyekundu

Margin of error yako ilikuwaje? - Ilikuwa so simple maana nilimhoji Mentor ndio akafunguka

Methodology? - Ilikuwa ni ya maswali ya dodoso na rejea kutoka simulizi kadhaa za kale

Sample space? - hiyo haikunipa shida maana nilikuwa na mtalamu Nyani Ngabu

Control group? - Nililazimika kuwatumia wadau wanaoperuzi lile jukwa la kule chini kabisa la mambo ya wakubwa


Naamini nimekujibu Yah Habibi
 
Last edited by a moderator:
Manenahhhh

Huyu "dem' akijibu haya maswali anidai eateli mane fasta

Namba yangu ni +01 234 567 897!!!!!!!!
haya tuma hela yangu haraka nishamjibu Kiranga, na kanipa tiki kwa sababu nimepata majibu yote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom