FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Mbona halina mvuto wa kuliangalia ...??
Hivi Hawa wabunge huwa wanaangalia mabunge ya wenzao nianze karibu hapo Kenya
Kenya unaangalia Bunge lina changamoto ..linaleta hisia ya kuangalia muswada unaojadiliwa saaafi kabisa ...
Uingereza ...Kila ninapotazama Bunge la Uingereza natamani lisiishe ,,Point zinaongelewa mada zinajadiliwa ..hakuna habari za kumsitop mbunge kisa ameongea lugha mbofumbofu ,hata Gordon Brown akiwa hapo Bungeni anapewa vidonge vyake Bila kuogopwa..
Ukrain jana tu tumeona spika akipigwa na mayai mpaka kufunikwa na miamvuli ..
Hili Bunge la kwetu likoje ...wabunge hawako huru wanaogopa kuongea hawajiamini..kazi yao ni kupiga soga na kusinzia Bungeni,,,,
Juzi kama sikosei ulikuwa unaongelewa mswaada wa aridhi mama sita na mbunge mwenzio wanapiga story mpaka wanagongeana mikono utadhani wako mtaani hii inamaanisha walikuwa hawasikilizi kinachoongelewa .
Hili ni Bunge gani ??????
Hivi Hawa wabunge huwa wanaangalia mabunge ya wenzao nianze karibu hapo Kenya
Kenya unaangalia Bunge lina changamoto ..linaleta hisia ya kuangalia muswada unaojadiliwa saaafi kabisa ...
Uingereza ...Kila ninapotazama Bunge la Uingereza natamani lisiishe ,,Point zinaongelewa mada zinajadiliwa ..hakuna habari za kumsitop mbunge kisa ameongea lugha mbofumbofu ,hata Gordon Brown akiwa hapo Bungeni anapewa vidonge vyake Bila kuogopwa..
Ukrain jana tu tumeona spika akipigwa na mayai mpaka kufunikwa na miamvuli ..
Parliament speaker Volodymyr Lytvyn was pelted with eggs and had to preside behind a shield of umbrellas.
Hili Bunge la kwetu likoje ...wabunge hawako huru wanaogopa kuongea hawajiamini..kazi yao ni kupiga soga na kusinzia Bungeni,,,,
Juzi kama sikosei ulikuwa unaongelewa mswaada wa aridhi mama sita na mbunge mwenzio wanapiga story mpaka wanagongeana mikono utadhani wako mtaani hii inamaanisha walikuwa hawasikilizi kinachoongelewa .
Hili ni Bunge gani ??????