Hili Bunge letu hili la Tanzania ....

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,375
Mbona halina mvuto wa kuliangalia ...??
Hivi Hawa wabunge huwa wanaangalia mabunge ya wenzao nianze karibu hapo Kenya

Kenya unaangalia Bunge lina changamoto ..linaleta hisia ya kuangalia muswada unaojadiliwa saaafi kabisa ...
Uingereza ...Kila ninapotazama Bunge la Uingereza natamani lisiishe ,,Point zinaongelewa mada zinajadiliwa ..hakuna habari za kumsitop mbunge kisa ameongea lugha mbofumbofu ,hata Gordon Brown akiwa hapo Bungeni anapewa vidonge vyake Bila kuogopwa..
Ukrain jana tu tumeona spika akipigwa na mayai mpaka kufunikwa na miamvuli ..

UkraineArt_042810_04-28-2010_QB1F632C.embedded.prod_affiliate.81.jpg

Parliament speaker Volodymyr Lytvyn was pelted with eggs and had to preside behind a shield of umbrellas.


Hili Bunge la kwetu likoje ...wabunge hawako huru wanaogopa kuongea hawajiamini..kazi yao ni kupiga soga na kusinzia Bungeni,,,,
Juzi kama sikosei ulikuwa unaongelewa mswaada wa aridhi mama sita na mbunge mwenzio wanapiga story mpaka wanagongeana mikono utadhani wako mtaani hii inamaanisha walikuwa hawasikilizi kinachoongelewa .

Hili ni Bunge gani ??????
 
1. Japo maandishi yako yamepandiana mwisho wa thread yako, nitajitahidi kuchangia(sijui kama ni sipiyuu yangu ina shida)!

2.Huku kwetu, wabunge SIO WAWAKILISHI wa watu(in real sense), ndo maana hawaoni shida endapo hoja zao zitajibiwa hovyo-hovyo.

3Sense ya kuumwa na matatizo ya wananchi haipo mioyoni mwao, ndio maana hawawezi kuthubutu kumhoji mtu kwa kumtazama usoni!

4.Kuna harufu ya kulindana...Naficha ya kwako, na wewe ufiche yangu!

5.Wanawaza Posho...Niibwatukie sirikali,kisha ikinikwamisha(kwa kutumia machinery zake) kwenye uteuzi, nikose ubunge nitakuwa mgeni wa nani...?

Kwahiyo sahau kabisa kuona BUNGE lanye msisimko Tanzania!
 
Mimi huwa naona uozo mtupu. ni jamii ya watu waliochaguana na kupeana mamlaka ya kuifilisi nchi hii bila huruma. hawana uchungu na nchi yao wao ni watu wa kufuata posho tu na mikopo wanayojilimbikizia kila siku. pensheni ya mfanyakazi wa kawaida kwa miaka ishirini na tano au thelathini haifiki hata milioni ishirini, lkn hawa waheshimiwa sana wakifanya kazi miaka mi TANO tu wanajilipa eti milioni 46 km kiinua mgongo, wadanganyika TUAMKE sasa huo ndo wizi wa mchan mchana, pesa nyingi kiasi hicho kwa kazi gani wanayoifanya? kupitisha ile mikataba mibovu? kukumbatia sheria zilizopitwa na wakati? kulala bungeni tu ? na kutembelea yale magari ya kifahari? Nchi hii inafilisiwa na wabunge, mawaziri na wakurugenzi waooo. LKN IPO SIKU TUTAAMKA TUU
 
1. Japo maandishi yako yamepandiana mwisho wa thread yako, nitajitahidi kuchangia(sijui kama ni sipiyuu yangu ina shida)!

2.Huku kwetu, wabunge SIO WAWAKILISHI wa watu(in real sense), ndo maana hawaoni shida endapo huja zao zitajibiwa hovyo-hovyo.

3Sense ya kuumwa na matatizo ya wananchi haipo mioyoni mwao, ndio maana hawawezi kuthubutu kumhoji mtu kwa kumtazama usoni!

4.Kuna harufu ya kulindana...Naficha ya kwako, na wewe ufiche yangu!

5.Wanawaza Posho...Niibwatukie sirikali,kisha ikinikwamisha(kwa kutumia machinery zake) kwenye uteuzi, nikose ubunge nitakuwa mgeni wa nani...?

Kwahiyo sahau kabisa kuona BUNGE lanye msisimko Tanzania!

Umenema vyema PJ kwa mie imefikia hatua huwa naangalia bunge letu kwa bahati mbaya au nimekosa cha kuangalia kwenye TV
ni kama vile danganya toto ili tuone Tanzania bado kuna Bunge Aibu tupu
 
Mimi huwa naona uozo mtupu. ni jamii ya watu waliochaguana na kupeana mamlaka ya kuifilisi nchi hii bila huruma. hawana uchungu na nchi yao wao ni watu wa kufuata posho tu na mikopo wanayojilimbikizia kila siku. pensheni ya mfanyakazi wa kawaida kwa miaka ishirini na tano au thelathini haifiki hata milioni ishirini, lkn hawa waheshimiwa sana wakifanya kazi miaka mi TANO tu wanajilipa eti milioni 46 km kiinua mgongo, wadanganyika TUAMKE sasa huo ndo wizi wa mchan mchana, pesa nyingi kiasi hicho kwa kazi gani wanayoifanya? kupitisha ile mikataba mibovu? kukumbatia sheria zilizopitwa na wakati? kulala bungeni tu ? na kutembelea yale magari ya kifahari? Nchi hii inafilisiwa na wabunge, mawaziri na wakurugenzi waooo. LKN IPO SIKU TUTAAMKA TUU

Ni siku gani hiyo chimunguru ambayo watanzania tutaamka ..
Maana wabunge wetu hapa Pointless ikiongewa wao wanagonga meza tu anashituka kutoka usingizini akikuta mwenzie anagonga meza na yeye anaendelea na zoezi
 
Ni siku gani hiyo chimunguru ambayo watanzania tutaamka ..
Maana wabunge wetu hapa Pointless ikiongewa wao wanagonga meza tu anashituka kutoka usingizini akikuta mwenzie anagonga meza na yeye anaendelea na zoezi

Unafikiri wanagonga meza kwa sababu wamesikia kilichoongelewa? wanagonga meza ili wasionekane wamekaa tu. kwa kweli ni aibu tupu
 
nchi ya tanzania tangu nilipoijua sijaona kiongozi mwenye uchungu kama hayati nyerere!!!! kwisha .....wengine wote ni kula kwa kwenda mbela...sasa tujilaumu wenyewe tu kwa kuwachagua viongozi wabovu
 
bunge la tz ni sawa na waliokusanyika kusikiliza nini kimeandaliwa na kitatekelezwa vipi, kuhoji au kutohoji si jukumu lao kwa trend ilivyo.
namkumbuka dr mmoja pale ud, aliwahi kusema kuwa ukihoji tu, instantly after the meeting au utatumiwa memo na kuulizwa, are you the mwenzetu??????
 
bunge la tz ni sawa na waliokusanyika kusikiliza nini kimeandaliwa na kitatekelezwa vipi, kuhoji au kutohoji si jukumu lao kwa trend ilivyo.
namkumbuka dr mmoja pale ud, aliwahi kusema kuwa ukihoji tu, instantly after the meeting au utatumiwa memo na kuulizwa, are you the mwenzetu??????

umenichekesha Felix kumbe na hizo zipo?
Naona wabunge wetu wako maalum kwa ajili ya kutonyonya hata kile kidogo tunachopata sio kwa maslahi ya wananchi
 
Mbona halina mvuto wa kuliangalia ...??
Hivi Hawa wabunge huwa wanaangalia mabunge ya wenzao nianze karibu hapo Kenya

Kenya unaangalia Bunge lina changamoto ..linaleta hisia ya kuangalia muswada unaojadiliwa saaafi kabisa ...
Uingereza ...Kila ninapotazama Bunge la Uingereza natamani lisiishe ,,Point zinaongelewa mada zinajadiliwa ..hakuna habari za kumsitop mbunge kisa ameongea lugha mbofumbofu ,hata Gordon Brown akiwa hapo Bungeni anapewa vidonge vyake Bila kuogopwa..
Ukrain jana tu tumeona spika akipigwa na mayai mpaka kufunikwa na miamvuli ..

UkraineArt_042810_04-28-2010_QB1F632C.embedded.prod_affiliate.81.jpg

Parliament speaker Volodymyr Lytvyn was pelted with eggs and had to preside behind a shield of umbrellas.


Hili Bunge la kwetu likoje ...wabunge hawako huru wanaogopa kuongea hawajiamini..kazi yao ni kupiga soga na kusinzia Bungeni,,,,
Juzi kama sikosei ulikuwa unaongelewa mswaada wa aridhi mama sita na mbunge mwenzio wanapiga story mpaka wanagongeana mikono utadhani wako mtaani hii inamaanisha walikuwa hawasikilizi kinachoongelewa .

Hili ni Bunge gani ??????

Asnate sana bunge la mwezi huu ndo kabisa halina hata mvuto
 
bunge la sasa wabunge wanachowaza ni jinsi ya kupora kura octoba na kurudi tena bungeni awamu ijayo ili waendelee kula , kujadili maswala muhimu ya nchi halipo kichwani mwao
 
Viti viko wazi wakati bunge linaendelea, muda wa kutambulisha wageni ni mwingi sana na spika anaona ni kitu chenye tija ( ni kama sisi ofisini) akija mgeni anaishia reception unasimama toka mezani kuuliza anachotaka. Kama wageni wanataka kuelewa bunge linavyofanya kazi waende mwanza ( wiki ya utumisi wa Umma) sabasaba au nanenane au waangalie TBC.

Miswaada haijadiliwi effectively. Utaona wabunge badala ya kutazama anayeongea wanatazama opposite direction. Katika kuongea kumuona mtu anayeongea inasaidia sana kujua sriousness yake hapa ni mchezo wa kuigiza.

Muda mwingi wa wanaochangia unatumika kupongezana for nothing. Nawapongeza wapiga kura, mwenyekiti wangu wa CCM taifa, Spika, naibu spika, mfanyakazi wa Bunge, wapigakura wangu, mke wangu na familia yangu almost three minutes ni pongezi na Pole. Chochote walichofanya ni jukumu lao na after all they are paid for it, shukrani za nini? Kama ni lazima, kwa nini TBC au Redio Free Africa wasianzishe kipindi cha salamu na pole toka bungeni watakuwa wameserve muda wa Watanzania kwa kiwango kikubwa sana.
 
bunge la tz ni sawa na waliokusanyika kusikiliza nini kimeandaliwa na kitatekelezwa vipi, kuhoji au kutohoji si jukumu lao kwa trend ilivyo.
namkumbuka dr mmoja pale ud, aliwahi kusema kuwa ukihoji tu, instantly after the meeting au utatumiwa memo na kuulizwa, are you the mwenzetu??????

Au ndo sababu ya vile vijikaratasi kila dakika kupitishwa kutoka kushoto kwenda kulia, nyuma kwenda mbele
 
Maskini weee, kumbe hujui kuwa hatuna bunge bali tuna jengo.... huwezi kusema tuna bnge utakuwa una idhalilisha maana halisi ya bung, hebu bofya maana ya bunge kwa kizungu kwenye serch engine yoyote hata kama ni google itakupa fasta maana ya bunge na kisha linganisha na lile la Walalavi yaani wanaosinzia sinzi bila mantiki yoyote, na kupiga stori mwanzo mwisho, bunge la majungu na unafiki, si semi kwa jazba ili nifungwe ila naona nina haki ya kuongea, Bune la NDIO, Bunge la sawaaaaa, ipite....Nini ipite hawajui, hebu unikumbushe nikutumie picha moja ya ndugu zetu wakiwa bungeni
 
Maskini weee, kumbe hujui kuwa hatuna bunge bali tuna jengo.... huwezi kusema tuna bnge utakuwa una idhalilisha maana halisi ya bunge, hebu bofya maana ya bunge kwa kizungu kwenye serch engine yoyote hata kama ni google itakupa fasta maana ya bunge na kisha linganisha na lile la Walalavi yaani wanaosinzia sinzi bila mantiki yoyote, na kupiga stori mwanzo mwisho, bunge la majungu na unafiki, si semi kwa jazba ili nifungwe ila naona nina haki ya kuongea, Bune la NDIO, Bunge la sawaaaaa, ipite....Nini ipite hawajui, hebu unikumbushe nikutumie picha moja ya ndugu zetu wakiwa bungeni

Mfano tu Wa Viongozi.JPG

Naskia jamaa naye alienda mahali kusingizi kakampitia, hebu nitafutieni na mie hako kapicha jamani
 
Back
Top Bottom