Hili Basi litaua

Hili Basi litaua

Musoma express halitoki msoma linatoka mwanza hili basi ndio basi pekee linafika dar saa tatu usiku mengine yote tano ama sita...nilipanda siku moja nikawa nasari rozari hadi nilipofika dar
 
Ukiona,bsi inapga ruti ndani mwaka dar mwanza jua,lazma iwe na injin, ya 94,114, scania, na difu zake na hi imekuja baada ya injin za kichina kulaza watu njian sku 2, lakin baada ya ufumbuzi,wa hil tatzo nw safari ni za uhakika kwnda, bk,kg Musoma, na mwnza! Kwa hizi njia zetu madereva wanakuwa w2 na mara nying, ni 120 to 140 km/hr na huo ndo mwendo safi,wa bsi na 80 kwa malori!
 
Ukiona,bsi inapga ruti ndani mwaka dar mwanza jua,lazma iwe na injin, ya 94,114, scania, na difu zake na hi imekuja baada ya injin za kichina kulaza watu njian sku 2, lakin baada ya ufumbuzi,wa hil tatzo nw safari ni za uhakika kwnda, bk,kg Musoma, na mwnza! Kwa hizi njia zetu madereva wanakuwa w2 na mara nying, ni 120 to 140 km/hr na huo ndo mwendo safi,wa bsi na 80 kwa malori!

siongezi neno hapo!!!!!
 
Musoma Express linatembea balaa,sema madereva wake wako makini na huwa wanapokezana
Mkuu musoma ni mbali sana jamaa hawezi kutembea speed kama anaenda iringa,kinachotakiwa ni umakini
na hapo hujakutana nae kipande cha kutoka dodoma kwenda singida,mashine inatembea mpaka unanyoosha mikono juu

naona watu mmekomaa musoma mbali, sheria inakata utembee 80km/hr on open road na 50km/hr sehemu zenye makazi ya watu. haijalishi we unaenda iringa au musoma au harare.
 
naona watu mmekomaa musoma mbali, sheria inakata utembee 80km/hr on open road na 50km/hr sehemu zenye makazi ya watu. haijalishi we unaenda iringa au musoma au harare.
umewajibu vyema maana watu hawafikirii mengine wanachofikiria ni speed tu
 
Elli
Naona hilo basi lilifika salama...
 
Last edited by a moderator:
Musoma express halitoki msoma linatoka mwanza hili basi ndio basi pekee linafika dar saa tatu usiku mengine yote tano ama sita...nilipanda siku moja nikawa nasari rozari hadi nilipofika dar

Ahahaaa mi mwenyewe sipendi mwendo kasi
 
Mungu awatangulie wasafiri wote, waweza tembea speed hata 50km/hr lakini ukasababishiwa ajali na mwenzako.
 
Linaitwa MUSOMA express Reg No. T 289 BEQ anaendesha vibaya na Ana overtake bila mpangilio. Nyuma yake lipo Nganga kama tunaweza kuripoti tusaidiane tupunguze ajali zisizo za lazima. Tunakaribia Chalinze mimi Niko kwenye basi tofauti na hayo
Kwanini msimwambie drv apunguze mwendo?
 
Wewe,halali yakimbie unadhan musoma ni DAR-MORO?YATAFIKA SAA NGAPI MUSOMA IKIWA KESHO LINATAKIWA LIRUDI DAR?..MWACHE DEREVA SI MAKOSA YAKE NI MAKOSA YA BOSI WAKE..NB:SIJAWAHI SIKIA MUSOMA EXPRESS IMECHINJA.

Musoma ni mbali kweli, ila kaburi lipo karibu sana kwa speed hiyo.....
 
Acha gari itembee wewe..watu wawahi makwao....kufa ni majaliwa....mimi magari kama hayo ndio nayapendaga...
 
Hakuna kitu napenda kama gari niliyopanda ikiwa ina overtake..sio unapanda gari kama umepanda baiskeli
 
Haya ni baadhi ya mabasi ukipanda kupata usingizi ni shughuli.Allys,leina,musoma,happy nation(sauti ya manka),coast line,am coach,mgamba na adventure ya kwa zito

kama kuna basi linakimbia kuliko hiii happy nation( sauti ya manka)basi hayo magari ni balaa! Maana hayo magari ya leina na mengineyo ya huko musoma na kigoma sijapata sifa zake bado!
 
Report it, Call 0713631780 Traffic HQ

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mkuu kuna leina tours inaenda kahama na hiyo musoma express nomaa kama unapenda ligi panda uone watalaam wa kucheza na gia
kama kuna basi linakimbia kuliko hiii happy nation( sauti ya manka)basi hayo magari ni balaa! Maana hayo magari ya leina na mengineyo ya huko musoma na kigoma sijapata sifa zake bado!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom