hali hii huwa inatisha sana, hasa ukiamini bus ulilopanda linakimbia sana halafu unakuta bus lingine linawapita and within few mins haulioni tena, huwa nashukuru Mungu may be tupo salama zaidi kuliko waliyotupita japokuwa wote ni majanga, ila Leina Tours, Hoods (Mbeya-Arusha, Ngorika, baadhi ya Saibaba, Allys, na sasa hio Musoma Express ni bus hatari sana
Leina ni balaa!!!! yaani huwa haya mabasi yanapita basi zingine kama zimepaki wakati nazo unakuta ziko full speed