Leina ni balaa!!!! yaani huwa haya mabasi yanapita basi zingine kama zimepaki wakati nazo unakuta ziko full speed
changes begin with you. Mpaka wewe usikie limeua watu ndo utachukua tahadhari/ndo utalalamikia ukiukwaji wa sheria za barabarani. Tafakari chukua hatua...Wewe,halali yakimbie unadhan musoma ni DAR-MORO?YATAFIKA SAA NGAPI MUSOMA IKIWA KESHO LINATAKIWA LIRUDI DAR?..MWACHE DEREVA SI MAKOSA YAKE NI MAKOSA YA BOSI WAKE..NB:SIJAWAHI SIKIA MUSOMA EXPRESS IMECHINJA.
Wewe,halali yakimbie unadhan musoma ni DAR-MORO?YATAFIKA SAA NGAPI MUSOMA IKIWA KESHO LINATAKIWA LIRUDI DAR?..MWACHE DEREVA SI MAKOSA YAKE NI MAKOSA YA BOSI WAKE..NB:SIJAWAHI SIKIA MUSOMA EXPRESS IMECHINJA.
waoooh!!hatukusimama masna mwendo wetu ni reasonable. Nimeandika hii taarifa kwenye karatasi nikawaangushia trafiki WA Jirani na Chalinze sijui kama wata-act
basi nisamehe mimi Mpwa. Nawaombea mfike salama but ukiwa kwenye gari kama ni abiria na hauko conversant na magari si rahisi kufahamu uzembe WA dereva Wako. ILA kama abiria mmeridhika who am I to object?Niko safarini pia, master city na happy nation ziko mbele musoma tuko na mwendo wa kawaida, kwa magari yaliyochoka ndo tunayapita green star iwe mbele yetu?
Siku maRTO Wataacha kupokea kitu kidogo kutoka kwa wenye mabasi, basi magari mabovu hutayaona barabarani, lakini kwa hizi bahasha za kila mwezi!
LEINA BABA LAO!sijui yale ma bus yana injini ganikwenye mabus huwa kuna namba za makamanda wa polisi wa kila mkoa? jaribu kupiga maana sie huku hatujui kilichotokea, pole sana vumilia - vipi Leina tours, na Ngorika hayajakupita bado? ninakutakia safari njema
Zile mbwembwe za speed gavana ziliishia wapi, au watu walishamake wakasepa?
Hii serikali ya chama twawala ina mengi sana ya kuhojiwa!
Acha wafe mkuu,kuna Mama aliwahi kumwomba dereva apunguze mwendo mwisho akashambuliwa na abiria wenzake,kama hana haraka arudishiwe nauli apande basi lingine kwani wao wana haraka
Wewe,halali yakimbie unadhan musoma ni DAR-MORO?YATAFIKA SAA NGAPI MUSOMA IKIWA KESHO LINATAKIWA LIRUDI DAR?..MWACHE DEREVA SI MAKOSA YAKE NI MAKOSA YA BOSI WAKE..NB:SIJAWAHI SIKIA MUSOMA EXPRESS IMECHINJA.
LEINA BABA LAO!sijui yale ma bus yana injini gani
Hongera kwa kuweka wazi,hilo gari uendeshaji wake ni hovyo,last week kidogo atusababishie ajali wakati
tunatoka Mwanza baada ya ku-overtake bila kuwa makini.
Musoma Express linatembea balaa,sema madereva wake wako makini na huwa wanapokezana
Mkuu musoma ni mbali sana jamaa hawezi kutembea speed kama anaenda iringa,kinachotakiwa ni umakini
na hapo hujakutana nae kipande cha kutoka dodoma kwenda singida,mashine inatembea mpaka unanyoosha mikono juu