100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,171
Mimi jana naamka na Powerbreakfast mara nawasikia XXL,,nikasema ina maana leo nimeamka saa nane mchana!!!!..sema walikuwa wanakiendesha as if walishawahi kukifanya before..
Ni ubunifu mzuri..
Nilisikia tangazo la kubadili watangazi wa vipindi, nikasema nisikilize kina Kibonde wanafanyaje, wamejitahidi sana.
Nashukuru kipindi cha Sports hakijabadilika, maana ndo kipindi nasikiliza frequently.