Hiki wanachokifanya Clouds wewe umewaelewa?

Hiki wanachokifanya Clouds wewe umewaelewa?

Bujoro

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,143
Reaction score
2,276
Habar za leo wana JF baada ya salam nijielekeze kwwny mada ya msingi imekuwa kuanzia ck za hivi karibuni mwezi huu wa 12. 2018 hawa jamaa yaani CMG clouds media group wamefanya au wanafanya mpaka hii leo kuchanganya au kufanya vaice vesa au kubadilishana vipindi kwenye radio cjajua na kweny tv maana mie niko job mda mwingi sina mda wa kuangalia tv ila nmeshuhudia kweny radio kiukweli nmependa sana huu ubunifu maana unapata kuona vipaji vya watangazaji wao kweny vipindi ambavo sio vyao watangazaji hawajavizoea ila mambo yanaenda na hakuna tofauti yoyote nilioiona sjui ww..

Mfano mda huu ni saa 11 jioni kunakuwaga na kipindi cha jahazi na watangazaji wake wanafahamika ila utashangaa leo sio wale uliowazoea ww wapo wa amprifire labda na baadae kweny amprifire watakuwepo watangazaji wa kipindi cha jahazi yaani imwnoga sana ...,nashaur na radio zingine ziige ubunifu huuu aisee uko poa karibuni sana .
 
Mimi jana naamka na Powerbreakfast mara nawasikia XXL,,nikasema ina maana leo nimeamka saa nane mchana!!!!..sema walikuwa wanakiendesha as if walishawahi kukifanya before..

Ni ubunifu mzuri..
 
Aisee ndio maana nashangaa kuwasikia akina b dozen asubuhi isivyo kawaida....
 
Mimi jana naamka na Powerbreakfast mara nawasikia XXL,,nikasema ina maana leo nimeamka saa nane mchana!!!!..sema walikuwa wanakiendesha as if walishawahi kukifanya before..

Ni ubunifu mzuri..
Yaani nakuambia ni poa sana nmependa kiukweli ubunifu huu uendelee
 
Kwahiyo unashangilia kuvurugwa ratiba na kushauri redio zingine ziige utaratibu huo?,_ama kweli akili ni nywele
Kila mtu ana zake na zakuambiwa changanya na zako
 
Habar za leo wana JF baada ya salam nijielekeze kwwny mada ya msingi imekuwa kuanzia ck za hivi karibuni mwezi huu wa 12. 2018 hawa jamaa yaani CMG clouds media group wamefanya au wanafanya mpaka hii leo kuchanganya au kufanya vaice vesa au kubadilishana vipindi kwenye radio cjajua na kweny tv maana mie niko job mda mwingi sina mda wa kuangalia tv ila nmeshuhudia kweny radio kiukweli nmependa sana huu ubunifu maana unapata kuona vipaji vya watangazaji wao kweny vipindi ambavo sio vyao watangazaji hawajavizoea ila mambo yanaenda na hakuna tofauti yoyote nilioiona sjui ww..

Mfano mda huu ni saa 11 jioni kunakuwaga na kipindi cha jahazi na watangazaji wake wanafahamika ila utashangaa leo sio wale uliowazoea ww wapo wa amprifire labda na baadae kweny amprifire watakuwepo watangazaji wa kipindi cha jahazi yaani imwnoga sana ...,nashaur na radio zingine ziige ubunifu huuu aisee uko poa karibuni sana .
Hongeren mnaoweza kukaa na kusikiliza au kutazama clouds radio au tv !!! Mimi nimejaribu nimeshindwa
 
Back
Top Bottom