Hiki ni kiungo gani cha mwili?

Hiki ni kiungo gani cha mwili?

Wenye mawazo mepesi mepesi wataanza kuona taswira ya kitu kingine kabisa.
Kila kitu ni kingine kwa kingine. Hata wewe unachowaza ni kingine kwa hiki niwazacho mimi, and vaisi vesa... Hivyo kwa statement yako hakuna wa kupona kuwa na mawazo mepesi

 
Makanyagio, yanaonekana laini, wengine mpaka tuone magaga ndo twajua ni makanyagio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom