Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,450
- 33,359
HIKI ndo KITANDA na CHUMBA ANACHOTUMIA IKULU MTOTO WA RAIS MPYA WA KENYA UHURU KENYATA.PICHA KASAMBAZA MWENYEWE KATIKA MITANDAO
Hicho chumba ni sawa tu na cha baamedi wengi mjini.
below my expectation
Usingizi ule ule tu hata ukiweka godoro chini usiku haubadiriki kuwa mchana wote mtalala tu na maisha yataenda na kama vyooni asubuhi mtaingia kunya kukojoa ni kulekule pia hakuna atakayetoa roast kuku wala supu ya uyoga.!
So what so special with that. We should stop posting irrelevant issues
Usingizi ule ule tu hata ukiweka godoro chini usiku haubadiriki kuwa mchana wote mtalala tu na maisha yataenda na kama vyooni asubuhi mtaingia kunya kukojoa ni kulekule pia hakuna atakayetoa roast kuku wala supu ya uyoga.!
Sio siri pako CLASSIC,enough space and room hata sarakasi unapiga/yoga sijui pilate unapiga misamba yote.HIKI ndo KITANDA na CHUMBA ANACHOTUMIA IKULU MTOTO WA RAIS MPYA WA KENYA UHURU KENYTA.PICHA KASAMBAZA MWENYEWE KATIKA MITANDAO
HIKI ndo KITANDA na CHUMBA ANACHOTUMIA IKULU MTOTO WA RAIS MPYA WA KENYA UHURU KENYATA.PICHA KASAMBAZA MWENYEWE KATIKA MITANDAO
Usingizi ule ule tu hata ukiweka godoro chini usiku haubadiriki kuwa mchana wote mtalala tu na maisha yataenda na kama vyooni asubuhi mtaingia kunya kukojoa ni kulekule pia hakuna atakayetoa roast kuku wala supu ya uyoga.!
Wacha hizo wewe....ubora wa madhari unayolala una effect kwenye usingizi. Kubali tu ni kizuri yaishe.
Mfano chumba cha Bill Gates, akilala systems zinamonitor mood yake na kuplay mziki utakaomfanya apumzike vyema. Utajilinganisha na wewe umelala nje wanapiga msondo ngoma mtaa wa pili wanafukuza mwizi, baba mwenye nyumba anagombana na wake zake!??? acha kabisa mkuu... Yeye anasema analala 3 - 4 hours na yupo fiti mbaya! wewe fanya hivo uone kama hukondi...