HIKI ndo KITANDA na CHUMBA ANACHOTUMIA IKULU MTOTO WA RAIS MPYA WA KENYA UHURU KENYATA.PICHA KASAMBA

inapendeza ila sijapenda watu wanavokuwa wanapinga wengine kutoa maoni yao hatuwezi kuwa na msimamo mmoja guys.
 
Eneo la chumba hicho ni sawa na kiwanja chote cha nyumba ya mswahili alichonunua kwa bei ya kupaa Halmashauri! Kwa hiyo tusichekwe wenye vibanda umiza maana Serikali yetu ndo chanzo!
 
Ana maana yake kusambaza picha ya chumba chake hii inatakiwa mtu awe ana upeo wa juu sana kuelewa alichokusudia ila wazee kama sisi tumeshaelewa fumbo lake

Kwa kuwa inasemekana wazee mna hekima na busara vitu vinavyowafanya kuwa na upeo wa juu sana kuelewa mambo na mafumbo, nakuomba mzee kadakokigondile utufumbulie fumbo hili alililotupa binti Uhuru Kenyata!
 
Wazee wanasema fumbo mfumbie mjinga mwerevu huelewa au bado hujaelewa mjukuu wangu? walimu wetu wa zamani ukimuuliza swali wakati unafanya mtihani anakujibu kwa mafumbo na ukishindwa kumuelewa anakuambia au unataka nikutafunie wewe umeze tuu? kazi kwako
Kwa kuwa inasemekana wazee mna hekima na busara vitu vinavyowafanya kuwa na upeo wa juu sana kuelewa mambo na mafumbo, nakuomba mzee kadakokigondile utufumbulie fumbo hili alililotupa binti Uhuru Kenyata!
 
Mimi nimeipenda hii.. Nitajiongeza hadi nifikie kuwa na bedroom nnayoitaka si tuu kama hii bali hata kushinda hii!
 
Wazee wanasema fumbo mfumbie mjinga mwerevu huelewa au bado hujaelewa mjukuu wangu? walimu wetu wa zamani ukimuuliza swali wakati unafanya mtihani anakujibu kwa mafumbo na ukishindwa kumuelewa anakuambia au unataka nikutafunie wewe umeze tuu? kazi kwako

Babu hizo mvi zako ni za kichina hazina busara! Unavurugwa kama mzee mwenzio Bambo. Hujui sababu za huyo binti mrembo kuonyesha chumba chake mtandaoni!
 
Hivi viongozi ea kisiasa wanalala viatanda vipi tungependa tuone anakolala slaa,tobo,mbewe,mjika,nk nk
 
Hivi viongozi ea kisiasa wanalala viatanda vipi tungependa tuone anakolala silaa,tobo,mbewe,mjika,nk nk
 
Wacha hizo wewe....ubora wa madhari unayolala una effect kwenye usingizi. Kubali tu ni kizuri yaishe.

Mfano chumba cha Bill Gates, akilala systems zinamonitor mood yake na kuplay mziki utakaomfanya apumzike vyema. Utajilinganisha na wewe umelala nje wanapiga msondo ngoma mtaa wa pili wanafukuza mwizi, baba mwenye nyumba anagombana na wake zake!??? acha kabisa mkuu... Yeye anasema analala 3 - 4 hours na yupo fiti mbaya! wewe fanya hivo uone kama hukondi...

Mentor unalala masaa mangapi kwa siku? Mimi nalala 3-4 hours niko bonge niko fit tu, kuchoka ni hadith tu, kitanda changu sio kama Cha Bill mafedha wala Warren Buffet.
 
HIKI ndo KITANDA na CHUMBA ANACHOTUMIA IKULU MTOTO WA RAIS MPYA WA KENYA UHURU KENYATA.PICHA KASAMBAZA MWENYEWE KATIKA MITANDAO




Ngina+Kenyatta+1.jpg

Ngina+Kenyatta.jpg











Aje aniringishie elimu yake hicho chumba hata baba yangu asingeweka priority ya kunipa elimu bora angeniweka humo na nisingekuwa na maisha nliyonayo sasa..proud of ma papa 4 the wealth of education he generated on me
 
Eneo la chumba hicho ni sawa na kiwanja chote cha nyumba ya mswahili alichonunua kwa bei ya kupaa Halmashauri! Kwa hiyo tusichekwe wenye vibanda umiza maana Serikali yetu ndo chanzo!

Mbona hiyo ni size ya kawaida ya chumba kwenye nyumba ambayo ni independent. Sisi tumezoea vyumba vya kuweka vitanda ukutani.

Tiba
 
Eneo la chumba hicho ni sawa na kiwanja chote cha nyumba ya mswahili alichonunua kwa bei ya kupaa Halmashauri! Kwa hiyo tusichekwe wenye vibanda umiza maana Serikali yetu ndo chanzo!

Mbona hiyo ni size ya kawaida ya chumba kwenye nyumba ambayo ni independent. Sisi tumezoea vyumba vya kuweka vitanda ukutani.

Tiba
 
Back
Top Bottom