Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Kuna mmoja Ni single mother,nilimpenda Sana kwa kuwa alikuwa very smart kwa maeneo fulani fulani,Ila aliponambia "no sex until marriage" nikaaga mashindano...

Niliona ana uwezo mdogo sana wa kudhibifi hisia zake,coz siku tumeonana tulikulanaaa then akaanza niambia hizo habari nikamkaushia...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha alikuwa anakuekitia huyo
Kuna mmoja Ni single mother,nilimpenda Sana kwa kuwa alikuwa very smart kwa maeneo fulani fulani,Ila aliponambia "no sex until marriage" nikaaga mashindano...

Niliona ana uwezo mdogo sana wa kudhibifi hisia zake,coz siku tumeonana tulikulanaaa then akaanza niambia hizo habari nikamkaushia...

Sent using Jamii Forums mobile app

GOD is GOOD
 
Sasa mambo ya soka yametokea wapi tena mkuu?
MASTAA WALIONUNULIWA KWA PESA NYINGI NA MAKOCHA HAO

Jose Mourinho - Pogba (Pauni 89.3milioni)

2.Carlo Ancelotti - Bale (Pauni 85.3milioni)

3.Pep Guardiola - Zlatan (Pauni 57milioni)

4.Manuel Pellegrini - C.Ronaldo (Pauni 80milioni)

5.Massimiliano Allegri - C.Ronaldo (Pauni 99.2milioni)

6 Arsene Wenger - Aubameyang (Pauni 56milioni)

7.Roberto Mancini - Aguero (Pauni 35milioni)

8.Claudio Ranieri - Rodriguez (Pauni 38.5milioni)

9.Rafa Benitez - Higuain (Pauni 34.5milioni)

10.Unai Emery - Neymar (Pauni 200milion

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua nasoma huku navuta picha wakati unaandika ulikuwa katika hali gani.
 
Hajui kuwa maisha hayana fomula! Kuna wengine wanakazana na kitabu anataka akija kuolewa awe na PhD hapo atafika 30. Maana ni nadra sana mwanamke akishaolewa kujiendeleza kielimu. After all umri sahihi wa mwanamke anayejitambua kuolewa na ndoa ikadumu ni kuanzia 30 na kuendelea
so ndoa za miaka 30 and above ndo zinadumu,huu ni uongo mkubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika.
Wasitutishe[emoji2]
Hajui kuwa maisha hayana fomula! Kuna wengine wanakazana na kitabu anataka akija kuolewa awe na PhD hapo atafika 30. Maana ni nadra sana mwanamke akishaolewa kujiendeleza kielimu. After all umri sahihi wa mwanamke anayejitambua kuolewa na ndoa ikadumu ni kuanzia 30 na kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzio wanasubiri kufuliwa maghetoni
Sihitaji unifulie wala unitawaze sijui ndo nikoe....mke mwema unampima kwa “ kichwa chake na mawazo yake” kila kitu kinaanzia kichwani nikitaka kujua kama unafaa ku care famili ntachunguza kwenu maana access hiyo sitakosa kupata walau mawili matatu

We kila siku bichwa linawaza make up na mawigi mi nikuoe ili baadae tule mawigi au

Wapimeni wapenzi wenu uwezo wao kuchambua mambo wakiwa vizuri kichwani hupati shida maana ataelewa tu nini maana ya NDOA


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise mkuu wewe ni KUNGWI au?

Anyway umeongea ukweli mtupu,kuna mdada nilikuaga nae,sasa wikend akija home nampikia (napenda sana kupika napopata nafasi na kumpikia mpenzi) lakini huwezi amini anakula hata kutoa vyombo hawezi wala kuviosha hawezi,muda wote napika yeye amejilaza tu kama chatu.

Aisee niliachana nae mara moja mana tabia zile zilinichefua sana.
Amejilaza Kama chatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu akapukie akufulie akuogeshe????

Wanawake ambao ndoa zetu zilikuja automatiki bila kwenda geto tujuzane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpo wachache halafu ni wa enzi hizo siku hizi tulishakubaliana kwenye kikao sisi wanaume huyo asikuja gheto ata kupika ,kufua ,na mengineyo hilo litakuwa ni garasa sio la kuoa lazima tupime huo u wife material

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima uje ghetto
-upike
-ufue
-ufanye usafi
-na mengineyo


Unajua kupitia hayo tunawafanyia assessment kwa hyo hapo tunayatambua mengi sana hapo kuhusu nyinyi tabia,mapungufu yenu, mfano hili jamaa chafu au safi je linavumilika na kila kitu isitoshe mnapata mda mwingi wa kusomana ili mjue kabisa mnaendana kuepuka Yale ya stamina sasa we hufanyi hayo mnakutana njiani na outing hapo trust me sijui lakini kama mnapata muda wa kusomana kipasavyo


Sasa tushasema msipokuja ghetto hatuoi tafuteni wa kuwaoa na wadau wanajua hilo [emoji3]kwa hiyo wakipita kusoma hapa nilipoandika ni kama marudio


Huji ghetto mi ntajuaje kama unajua kupika ,kutunza nyumba au kuni care ntajuaje kama yaliyomo yamo ?sasa nyinyi msije waacheni wanaoenda hao tutawaoa [emoji3]
Watu wanahalalisha majukumu.
Ndoa Ni ndoa na Kama ipo itakuja Bila hata kwenda gheto[emoji3526]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom