Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Kumpikia, kumfulia mwanaume na baadae umpe mzigo ale na haujui huyu ni muoaji au ndo play boy ni ufamba ukifika kwake kaa kitandani kuwa busy na cm yako akipika wee kula shida mpe mauno ya sotojo hapo kati, oga, rudi kwako vyombo ataosha mwenyewe au ataita mpenzi wake mwingine aoshe
 
Jisemee wewe nafsi yako,, ila kuna wanaume wenzio wengi tu wamepata wanawake wanaowafanyia yote hayo ila hawajawaoa na wala hawana mpango wa kuwaoa..
Naona umeguswa haswa, Mimi siwezi kuoa mwanamke ambaye hajawahi hata kunipikia au kunifulia nguo, au nikiona unapenda sana kubandika makucha najua wewe ni wa kupiga mzigo tu Ndoa huiwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yamebadilika sana
Leo hi mwanamke anaenda kwa boyfriend wake anafua,anapika,anaosha vyombo yaani Kama mke wake...hapo hata kwawazaz hamjaenda!!! Ukiyoka anaingia mwenzio analala anasepa
Dadazangu mwanaume anaetaka kukuowa atakuowa tu kama anakupenda....TABIA za kawaida tu zitamfanya ajui Kama wew Ni mke wake

kelphin kepph
 
Mambo yamebadilika sana
Leo hi mwanamke anaenda kwa boyfriend wake anafua,anapika,anaosha vyombo yaani Kama mke wake...hapo hata kwawazaz hamjaenda!!! Ukiyoka anaingia mwenzio analala anasepa
Dadazangu mwanaume anaetaka kukuowa atakuowa tu kama anakupenda....TABIA za kawaida tu zitamfanya ajui Kama wew Ni mke wake

kelphin kepph
Unaonekana ni husband material kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom