kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,515
- 17,441
Kati ya vitu nlivovikataa Ni grl friend aje kwangu aanze kunpikia...sijui afue...sijui aangaike wee hapana
kelphin kepph
Kati ya vitu nlivovikataa Ni grl friend aje kwangu aanze kunpikia...sijui afue...sijui aangaike wee hapana
Mambo yamebadilika sana
Leo hi mwanamke anaenda kwa boyfriend wake anafua,anapika,anaosha vyombo yaani Kama mke wake...hapo hata kwawazaz hamjaenda!!! Ukiyoka anaingia mwenzio analala anasepa
Dadazangu mwanaume anaetaka kukuowa atakuowa tu kama anakupenda....TABIA za kawaida tu zitamfanya ajui Kama wew Ni mke wake
kelphin kepph
SemaMaynard!
kelphin kepph
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ban itanihusu [emoji23][emoji23][emoji23]
We mkali[emoji16]
kelphin kepph
Mkishaona mwanaume mwenzetu anatupinga anasapoti matakwa yenu hapo lazima mumsifie
Umemind mwenyekiti[emoji23][emoji23][emoji23]Mkishaona mwanaume mwenzetu anatupinga anasapoti matakwa yenu hapo lazima mumsifie
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba kesho jumatatu urudishe kadi ya chama [emoji3]Umemind mwenyekiti[emoji23][emoji23][emoji23]
kelphin kepph
Nisamehe sirudii tena mwenyekiti
Kweli kabisa!!JF ni chuo tosha ukishindwa kujifunza hapa na kusoma tabia halisi za watu.
Jidanganye........Hajui kuwa maisha hayana fomula! Kuna wengine wanakazana na kitabu anataka akija kuolewa awe na PhD hapo atafika 30. Maana ni nadra sana mwanamke akishaolewa kujiendeleza kielimu. After all umri sahihi wa mwanamke anayejitambua kuolewa na ndoa ikadumu ni kuanzia 30 na kuendelea
Kawaulize dada zako ambao wamekuja kuitafuta ndoa na miaka 30....huyo mwanaume wa kuja kukuoa umri huo yeye atakuwa na umri wa miaka mingapi, labda uoe hawa madogo wanaotafuta maisha.... Ila sio mtu mzima ambaye tayari ana maisha yake....Hajui kuwa maisha hayana fomula! Kuna wengine wanakazana na kitabu anataka akija kuolewa awe na PhD hapo atafika 30. Maana ni nadra sana mwanamke akishaolewa kujiendeleza kielimu. After all umri sahihi wa mwanamke anayejitambua kuolewa na ndoa ikadumu ni kuanzia 30 na kuendelea
Hapo umengoa kwa kutumia hasira..... Ongea kwa kutumia hekima sasa tukusikie.......Binafsi siji kufanya huu upuuzi eti kufua,kufanya usafi..
Nilikua na tabia ya kufanya usafi kila nikimtembelea
Siku hiyo nikajifanya kufanya usafi Wa nguvu hadi uvunguni hukoo
Niliyoyaona huko uvunguni
Yalinifanya nikate mguu
Na nikampotezea mazima.
Sasa hivi hata kitanda sikutandikii
Wacha niendelee kuzeeka kama sifa za kuolewa ni hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushapigwa ukuni mileage inasoma laki halafu unaleta masharti. Nyie watoto wa kike wa miaka hii ni a disgrace kwa familia zenu sababu ya kuendekeza dharau na ujuaji.....[emoji120][emoji120][emoji120]
Sina wasiwasi kabisa,Mungu anazidi niimarisha kiroho na kimwili..
kijana mwenye Nia ya ndoa atakuja nyumbani kunioa,
Kulikoni kwenda kuwa mke kwa boyfriend Ni akheri nizekee kwetu.
Siwezi kuolewa kabla ya kuolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika na unachoongea au umeamua kujiropokea tu?Ushapigwa ukuni mileage inasoma laki halafu unaleta masharti. Nyie watoto wa kike wa miaka hii ni a disgrace kwa familia zenu sababu ya kuendekeza dharau na ujuaji.....
Unajua wanaume hawaoni thamani zenu sababu mnagawa sana kama biscuit kisha mnakuja kulia lia kuwa wanaume wanawachezea wakati ni nyie mnakiuka miiko ya kike....
Sent using Jamii Forums mobile app