MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,125
Shauri yako
Hata hvyo hiyo ilikuwa bahati mbaya usijumlishe wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hvyo hiyo ilikuwa bahati mbaya usijumlishe wote
Binafsi siji kufanya huu upuuzi eti kufua,kufanya usafi..
Nilikua na tabia ya kufanya usafi kila nikimtembelea
Siku hiyo nikajifanya kufanya usafi Wa nguvu hadi uvunguni hukoo
Niliyoyaona huko uvunguni
Yalinifanya nikate mguu
Na nikampotezea mazima.
Sasa hivi hata kitanda sikutandikii
Wacha niendelee kuzeeka kama sifa za kuolewa ni hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app