Christina George
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 673
- 784
Si kweli mm ni binti badoWatu wanasemaga ukiona mwanamke anasema sijafika hata 30 ujue ana 29 eti
Si kweli mm ni binti badoWatu wanasemaga ukiona mwanamke anasema sijafika hata 30 ujue ana 29 eti
Hahaaa ww si mtotoDuuh kumbe mnajijua kwa makundi ila sometimes hamuolewek ndo maana tunaangukia kwa ma slay vampires mnajua kuigiza
Hapa bar naliona bonge la Dada jeupee namba nane lina bonge moja la chura ni barmaid limenihudumia kinywaji kwa ukarimu si linafaa kuwa wife material ?au ninywe niondoke zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui kuwa maisha hayana fomula! Kuna wengine wanakazana na kitabu anataka akija kuolewa awe na PhD hapo atafika 30. Maana ni nadra sana mwanamke akishaolewa kujiendeleza kielimu. After all umri sahihi wa mwanamke anayejitambua kuolewa na ndoa ikadumu ni kuanzia 30 na kuendelea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi unajiona umemaliza kila kitu.
#Shuainizako.
Mkuu huwezi kupambana na hao viumbe wana maneno ya shombo sana na ndio maumbile yaoNiko kwa shemeji ndio kwani kuna ubaya gani mimi kukaa kwa shemeji?
GOD is GOOD
Si Mchezo.Mwanamke kutwa unalalamika wanaume waongo kwenye mapenzi wakikutumia tu wanasepa, huna hata akili ya kufikilia kwann kwako wagonge wasepe hawaingii ndani? Na daily unahudhuria harusi za wasichana wenzio wakiolewa? Au wao wanaolewa namajini eti? [emoji23][emoji23][emoji23] hii dhana kujiona watoto wa mjini, wanawake wa kisasa sijui, basi ndo mnakuwa kama makuku ya kisasa kweli hamfai kwa kufugwa shida tupu!! Maana makuku ya kisasa ukitaka kuyafuga basi ujipange kweli kweli kuanzia mtaji wa kipesa hadi muda wa kuyahudumia!! Ndo nyie sasa, yaani kiukweli wanawake wa sikuhizi hata radha mmeisha kabisa [emoji23] We unataka mwanaume akuoe wakati hujawahi kujiongeza hata kusema umfulie, kazi kumsifia kapendeza hujui hata anafuliwa na nani? Hujawahi hata kumpikia kazi kumsifia ananenepa hujui hata anakula wapi, halafu unataka ndoa? kila siku ukienda gheto kwake we kazi kuulizia series za kikorea kama kaleta mpya, huulizi hata Leo unanunua mboga gani nije kukupikia, mwanamke mzima bila haya unaenda kwa bwana wako unafika unalia njaa halafu unamuagiza kabisa akakununulie chips kuku! Halafu unataka atoe posa kwenu?? Kazi mnayoijua ni kuomba omba hela tu utazani watoza ushuru wa manispaa? Mkifulia Ndo mnajifanya kusema "Bby nimekumiss nataka nije leo" pumbavu kumbe pesa Ndo inayokupeleka, mkishafumuliwa fasta mnaomba nauli na hela ya kula hata kukumbuka kutoa shuka utandike nyingine huna mda huo, tunawajua Sana ila tunawatazama tu mnajiona wajaanja kumbe mnajishusha wenyewe, haya mambo mnayaona ya kipuuzi lakini ndo uchawi kwa mwanaume ajue thamani yako, asifikirie kukupoteza hata siku moja, sasa nyie endeleeni tu kufuata hela, mnaenda kwa wanaume mmejikoki sadolin za rangi mdomoni, machoni mpaka mtu anashindwa kukukiss! Umefuga makucha utazani visu vya kukeketea?? [emoji3][emoji3] sijui hata mnasafishaje maumbile yenu, unakuta unang'aa usoni utazani duka la wahindi lakini ndani unatoa uvundo [emoji23][emoji23][emoji23] aisee mtalalamika Sana nawaambia, wanaume Ndo sisi mnaotuletea nyodo Ndo tunapaswa kuwaoa, tutawanyoosha mpaka mjute kuzaliwa! Pendeni hela tuwazeeshe!!....... [emoji35][emoji35][emoji35] Ukiwa maskin unaonekana kama huna akili timamu kumbe kilichokosekana apo sio akili ni pesa![emoji23][emoji23] Leo nimeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka masharti lukuki tena magumu Kinoma
Mara nataka Mwanaume Handsome, Mcha Mungu, mwenye elimu ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.
Nabaki kuwashangaa sana nyiyi viumbe, unataka mwanaume mcha Mungu je wewe ni mcha mungu? Ungekuwa na tabia nzuri ungefikisha umri huo ukiwa nyumbani?
Tambua kuwa kitendo cha kufikisha miaka 30 nyumbani na huna mume wala mchumba inabidi ujiulize mara mbili ulikosea nini huko nyuma Kwasababu Kupata Mume umri huo kwa sasa ni Bahati , Wengine Kabisa wanakataa wachumba wakiwa kwenye early 20's Wakijua watastay young Forever...
Utakuta mwingne alizalia nyumban halafu anakuja naye na sifa zake eti nataka mwanaume mnyenyekevu na ambaye hajawai kuoa nyambaaafu wewe umezalia nyumban halafu leo unataka mwanaume ambaye hajawahi kuoa for what?
Mimi nawaambia msijidanganye hata kidogo, mkitaka masharti hayo mtaishia kufunuliwa tu mpaka akili ziwakae sawa.
KWAHERINI.MESSAGE SENT
GOD is GOOD
HongeraHakuna wakunifanyia usafi nafanya mwenyewe nilishaoa pombe hapo nilikuwa nazungumzia na kutetea maslahi ya jinsia yangu ambayo bila kuonyesha huo u wife material hakuna ndoa at least wafanye kitu cha kutu convince
Kuachwa ni matokeo tu na factor ni nyingi tu .mtumishi waache wenzio wafanye usafi bana wawapikie unaweza kuta jamaa anavutiwa na mapishi ya bibie anafupisha uchumba anaoa fasta .
Mengine ni matokeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhhahhhahhaa [emoji23]Watu wanasemaga ukiona mwanamke anasema sijafika hata 30 ujue ana 29 eti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120]wakupe ya soda sio mchezo umewambia ukweli mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa huu ujinga aliouongea au kitu gani ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120]wakupe ya soda sio mchezo umewambia ukweli mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120]wakupe ya soda sio mchezo umewambia ukweli mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi unajiona umemaliza kila kitu.
#Shuainizako.
Umefuga makucha utadhani visu vya kukeketea aiseeee.Mwanamke kutwa unalalamika wanaume waongo kwenye mapenzi wakikutumia tu wanasepa, huna hata akili ya kufikilia kwann kwako wagonge wasepe hawaingii ndani? Na daily unahudhuria harusi za wasichana wenzio wakiolewa? Au wao wanaolewa namajini eti? [emoji23][emoji23][emoji23] hii dhana kujiona watoto wa mjini, wanawake wa kisasa sijui, basi ndo mnakuwa kama makuku ya kisasa kweli hamfai kwa kufugwa shida tupu!! Maana makuku ya kisasa ukitaka kuyafuga basi ujipange kweli kweli kuanzia mtaji wa kipesa hadi muda wa kuyahudumia!! Ndo nyie sasa, yaani kiukweli wanawake wa sikuhizi hata radha mmeisha kabisa [emoji23] We unataka mwanaume akuoe wakati hujawahi kujiongeza hata kusema umfulie, kazi kumsifia kapendeza hujui hata anafuliwa na nani? Hujawahi hata kumpikia kazi kumsifia ananenepa hujui hata anakula wapi, halafu unataka ndoa? kila siku ukienda gheto kwake we kazi kuulizia series za kikorea kama kaleta mpya, huulizi hata Leo unanunua mboga gani nije kukupikia, mwanamke mzima bila haya unaenda kwa bwana wako unafika unalia njaa halafu unamuagiza kabisa akakununulie chips kuku! Halafu unataka atoe posa kwenu?? Kazi mnayoijua ni kuomba omba hela tu utazani watoza ushuru wa manispaa? Mkifulia Ndo mnajifanya kusema "Bby nimekumiss nataka nije leo" pumbavu kumbe pesa Ndo inayokupeleka, mkishafumuliwa fasta mnaomba nauli na hela ya kula hata kukumbuka kutoa shuka utandike nyingine huna mda huo, tunawajua Sana ila tunawatazama tu mnajiona wajaanja kumbe mnajishusha wenyewe, haya mambo mnayaona ya kipuuzi lakini ndo uchawi kwa mwanaume ajue thamani yako, asifikirie kukupoteza hata siku moja, sasa nyie endeleeni tu kufuata hela, mnaenda kwa wanaume mmejikoki sadolin za rangi mdomoni, machoni mpaka mtu anashindwa kukukiss! Umefuga makucha utazani visu vya kukeketea?? [emoji3][emoji3] sijui hata mnasafishaje maumbile yenu, unakuta unang'aa usoni utazani duka la wahindi lakini ndani unatoa uvundo [emoji23][emoji23][emoji23] aisee mtalalamika Sana nawaambia, wanaume Ndo sisi mnaotuletea nyodo Ndo tunapaswa kuwaoa, tutawanyoosha mpaka mjute kuzaliwa! Pendeni hela tuwazeeshe!!....... [emoji35][emoji35][emoji35] Ukiwa maskin unaonekana kama huna akili timamu kumbe kilichokosekana apo sio akili ni pesa![emoji23][emoji23] Leo nimeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka masharti lukuki tena magumu Kinoma
Mara nataka Mwanaume Handsome, Mcha Mungu, mwenye elimu ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.
Nabaki kuwashangaa sana nyiyi viumbe, unataka mwanaume mcha Mungu je wewe ni mcha mungu? Ungekuwa na tabia nzuri ungefikisha umri huo ukiwa nyumbani?
Tambua kuwa kitendo cha kufikisha miaka 30 nyumbani na huna mume wala mchumba inabidi ujiulize mara mbili ulikosea nini huko nyuma Kwasababu Kupata Mume umri huo kwa sasa ni Bahati , Wengine Kabisa wanakataa wachumba wakiwa kwenye early 20's Wakijua watastay young Forever...
Utakuta mwingne alizalia nyumban halafu anakuja naye na sifa zake eti nataka mwanaume mnyenyekevu na ambaye hajawai kuoa nyambaaafu wewe umezalia nyumban halafu leo unataka mwanaume ambaye hajawahi kuoa for what?
Mimi nawaambia msijidanganye hata kidogo, mkitaka masharti hayo mtaishia kufunuliwa tu mpaka akili ziwakae sawa.
KWAHERINI.MESSAGE SENT
GOD is GOOD
Jose Mourinho - Pogba (Pauni 89.3milioni)
safi sana......hakika unajielewa....Nazungumzia waliojimilikisha hayo majukumu.
Hivi kwanza hicho kitabu chenyewe Cha "usiolewe kabla hajaolewa"unakijua???
Nione Nini sasa,I will never be a wife to a boyfriend and I'm sure a hundred percent nitaolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120][emoji120][emoji120]safi sana......hakika unajielewa....
Barikiwa sana....[emoji120][emoji120][emoji120]
Sina wasiwasi kabisa,Mungu anazidi niimarisha kiroho na kimwili..
kijana mwenye Nia ya ndoa atakuja nyumbani kunioa,
Kulikoni kwenda kuwa mke kwa boyfriend Ni akheri nizekee kwetu.
Siwezi kuolewa kabla ya kuolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app