Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Binafsi siji kufanya huu upuuzi eti kufua,kufanya usafi..
Nilikua na tabia ya kufanya usafi kila nikimtembelea
Siku hiyo nikajifanya kufanya usafi Wa nguvu hadi uvunguni hukoo

Niliyoyaona huko uvunguni
Yalinifanya nikate mguu
Na nikampotezea mazima.
Sasa hivi hata kitanda sikutandikii
Wacha niendelee kuzeeka kama sifa za kuolewa ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaha, ulikuta vipisi vya condom nini ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu danga vizuri na wewe
IMG_20200121_170706.jpg

Ukisikia aiiii......tambua jiwe limetuwa panapo. [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom