Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Hiki ndo kinachosababisha usiolewe mpaka leo

Yeah, mwanaume anayetaka yote hayo Basi aoe.
Unakuta binti anakubali kutumika tu,anaolewa kabla hajaolewa,anakuwa mke kwa mtu ambaye si mume wake..



Sent using Jamii Forums mobile app
Roho mbaya tu hizo inamaana huwez kumsaidia jamaa ata siku moja kupiga deki

Unajua wadada kwenye ili swala la mahusiano mnakuwa kama walimu wa field na vijana waoaji wanakuwa kama wakaguzi wenu wana wa asses performance yenu je anafaa kuwa mwalimu ndo hvo hvo kwenye suala la uoaji kwa mambo madomadogo kama hayo mnapimwa sasa we jikute hufanyi kitu hata kupika humsaidii ndo uone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watajilaumu sana sasa girlfriend hata kuja kupika nyumban hataki kunifanyia usafi hataki bado una msupport kwa mambo madogomadogo au makubwa yani una play role yako ye ha play ya kwake huyo wa nini ndo unakuta wengine wanaamua kununua ile midoli ya China kama mkuu @ chizimaarifa kukizi haja zao no stress
Wanisikilize na watanishukuru baadaye

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho mbaya tu hizo inamaana huwez kumsaidia jamaa ata siku moja kupiga deki

Unajua wadada kwenye ili swala la mahusiano mnakuwa kama walimu wa field na vijana waoaji wanakuwa kama wakaguzi wenu wana wa asses performance yenu je anafaa kuwa mwalimu ndo hvo hvo kwenye suala la uoaji kwa mambo madomadogo kama hayo mnapimwa sasa we jikute hufanyi kitu hata kupika humsaidii ndo uone

Sent using Jamii Forums mobile app
Nazungumzia waliojimilikisha hayo majukumu.

Hivi kwanza hicho kitabu chenyewe Cha "usiolewe kabla hajaolewa"unakijua???

Nione Nini sasa,I will never be a wife to a boyfriend and I'm sure a hundred percent nitaolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watajilaumu sana sasa girlfriend hata kuja kupika nyumban hataki kunifanyia usafi hataki bado una msupport kwa mambo madogomadogo au makubwa yani una play role yako ye ha play ya kwake huyo wa nini ndo unakuta wengine wanaamua kununua ile midoli ya China kama mkuu @ chizimaarifa kukizi haja zao no stress

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kazi yako kumsapoti mambo makubwa.. kufanya hayo Ni kujipendekeza na huruma zako tu,
Kama unafanya fanya kwa huruma zako tu.
Jukumu la kumtunza Ni la wazazi wake.

Kwa mwanamke vivyohivyo ,kukesha kumfulia kumpikia na kufanya kazi zote kwa mwanaume yaani dada kahamia huko,SI jukumu lake,.
Kama dada atafanya Basi Ni kiherehere chake tu na huruma zake.
Hilo jukumu Ni la mke wake wa ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio vizuri hivyo unajua hawa wadada wa humu wanasoma ulichoandika hapa unataka watubadilikie ghafla wakatae kutufanyia usafi tuanze sasa kuwa wachafu na tushazoea wenyewe


Ila ulichoandika kina ukweli ila nyie wadada huo ni msimamo wake wakwetu sisi hatuoi bila kuuona huo u wife material sasa mtachagua wenyewe
Siyo kazi yako kumsapoti mambo makubwa.. kufanya hayo Ni kujipendekeza na huruma zako tu,
Kama unafanya fanya kwa huruma zako tu.
Jukumu la kumtunza Ni la wazazi wake.

Kwa mwanamke vivyohivyo ,kukesha kumfulia kumpikia na kufanya kazi zote kwa mwanaume yaani dada kahamia huko,SI jukumu lake,.
Kama dada atafanya Basi Ni kiherehere chake tu na huruma zake.
Hilo jukumu Ni la mke wake wa ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio vizuri hivyo unajua hawa wadada wa humu wanasoma ulichoandika hapa unataka watubadilikie ghafla wakatae kutufanyia usafi tuanze sasa kuwa wachafu na tushazoea wenyewe


Ila ulichoandika kina ukweli ila nyie wadada huo ni msimamo wake wakwetu sisi hatuoi bila kuuona huo u wife material sasa mtachagua wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi yupo anayekufanyia usafi?
Na anasubiri malipo ya ndoa???

Wanaojipa hayo majukumu yote waache wajipe ila siku wakiachwa wasije wakaanza kuachama midomo kwamba walipiga deki Hadi migongo ikavimba..hiyo si guarantee ya ndoa..Kama walifanya Basi walihiari na wasije wakatake advantage ya kufanya hivyo kulaumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna wakunifanyia usafi nafanya mwenyewe nilishaoa pombe hapo nilikuwa nazungumzia na kutetea maslahi ya jinsia yangu ambayo bila kuonyesha huo u wife material hakuna ndoa at least wafanye kitu cha kutu convince



Kuachwa ni matokeo tu na factor ni nyingi tu .mtumishi waache wenzio wafanye usafi bana wawapikie unaweza kuta jamaa anavutiwa na mapishi ya bibie anafupisha uchumba anaoa fasta .

Mengine ni matokeo
Hivi yupo anayekufanyia usafi?
Na anasubiri malipo ya ndoa???

Wanaojipa hayo majukumu yote waache wajipe ila siku wakiachwa wasije wakaanza kuachama midomo kwamba walipiga deki Hadi migongo ikavimba..hiyo si guarantee ya ndoa..Kama walifanya Basi walihiari na wasije wakatake advantage ya kufanya hivyo kulaumu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa thread, wewe ni KE au ME?. Tuanzie hapo

Don't hunt what you can't kill.
 
Mimi ni Me tena dume la mbegu baba wa watoto tisa.
Mtoa thread, wewe ni KE au ME?. Tuanzie hapo

Don't hunt what you can't kill.

GOD is GOOD
 
Back
Top Bottom