Acha umalaya umbwa koko wewe
GOD is GOOD
Tangu huu mwaka uanze najaribu kuacha
Acha umalaya umbwa koko wewe
GOD is GOOD
Siku nyingi hatujaonana.Nimefanyaje?
Siku nyingi hatujaonana.
Yaani ni kama umenitelekeza eti.
Hivi kweli Mimi ndo yule shangazi?[emoji23][emoji23]Wale wabinti waliokua wanashangaa inakuaje huyu shangazi haolewagi miaka nenda miaka rudi wasishangae tena maana sasa hivi ndo ameshakua yule shangazi asieolewa...hahahahaa
Duuh kumbe mnajijua kwa makundi ila sometimes hamuolewek ndo maana tunaangukia kwa ma slay vampires mnajua kuigizaTumegawanyika mkuu..wapenda ndoa tunajua tubihev vipi na wadangaji ndo mnaowapata nyie nao wanajua wafanye nn kwenu. BTW sijafika 30.
Mgonge mashine kwa heshima yangu mkuu!Duuh kumbe mnajijua kwa makundi ila sometimes hamuolewek ndo maana tunaangukia kwa ma slay vampires mnajua kuigiza
Hapa bar naliona bonge la Dada jeupee namba nane lina bonge moja la chura ni barmaid limenihudumia kinywaji kwa ukarimu si linafaa kuwa wife material ?au ninywe niondoke zangu
Sent using Jamii Forums mobile app