Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Kama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBT
Temea mate chini mkuuHivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.
Kuna yule mmoja famous sana insta ana dreads jina nimesahau anauza nguo,viatu,raba suruali jeans za kiume hasa sasa kafungua duka k/koo.Kama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBTView attachment 1763881
Kwa nini nifanye hivyo? Mambo mengine ni yakujiuliza tu pia, wawezakuta makuzi yao yamewafikisha hapoTemea mate chini mkuu
Kupanga ni kuchagua yakheeeHivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.
Kuna mtoto wa spika hapoHivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.
Kuna usemi unasema "hakuna bingwa wa malezi". Mkuu, Mtoto akiamua kushindikana anashindikana tu hata kama mzazi amemlea vizuri kiasi gani. Wazazi tuna mtihani sana, Ni kuomba Mungu tu.Hivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.