Hiki kitu no muhimu sana kwa maisha ya binadam

Hiki kitu no muhimu sana kwa maisha ya binadam

Wilson Gamba

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
819
Reaction score
908
Kuna mwalimu wangu kipindi nikiwa primary alikuwa anatuonesha ualisia wa maisha ya binadam apa duniani kwa kusema kuwa katika vitu vya mhimu apa duniani inabidi uwe na hekima ktk madaraka ya namn yoyote,kwani madaraka yanapofusha na husipokuwa Makini unaweza husione mbele na ukawa na dharau kwa binadamu wenzako walio chini yako,na ukasahu kuwa wewe no binadamu Kuna Leo na kesho.C ha pili chenye madhara sana husipokuwa Makini ni Mali na pesa vinaweza pia kukupofusha ukashindwa tambua wewe ni binadamu Kuna kupata na kukusa,kumbe ukiwa na Mali pesa au cheo/madaraka ni swala la mda tu,hekima ni mhimu.Mwenyezi mungu amweke mahalo pema peponi huyu mzee ni mojawapo ya walimu wa zamani walokuwa na Hali ya kusaidia wanafunzi wao
 
Ndo maana Mungu anawekaga limit ya pesa kwa watu. Mfano Mimi nizikamate kwaanzia dollar million Moja kuendelea huko Violence meennn
 
Back
Top Bottom