Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,952
- 147,830
Kiko hapana🙌,mie mashamba na vikombe.Nimeshaandika kwenye urithi wako, ukiachana na yale mashamba ya tumbaku nitakupa na hiki kikombe
Na hizi kiko ninazotumia, nitakuachia umwachie mumeo, avute akinikumbuka mkwe wake 😜