Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707
Hiki kikombe nakumbuka nimetumia sekondari 2005 ila mpaka sasa kipo, juzi kati nilienda kwa wazazi nikachukua kama kumbukumbu

Cha zamani.png
 
Hiki kikombe nakumbuka nimetumia sekondari 2005 ila mpaka sasa kipo, juzi kati nilienda kwa wazazi nikachukua kama kumbukumbu

View attachment 3595478

Noma sana! Kuna glasi moja hivi ya kunywea maji mshua, inakuwa kama gamba la kobe, naona bimkubwa alishaiweka kama kumbukumbu pale home.
Nipo shule ya msingi glasi ipo.

Mshua wangu pia bado anayo saa ya AJANTA ya ukutani, inatumika mpaka leo. 😊
 
Hii nimeitunza hapa mwaka wa nne huu...😋View attachment 3595498
Miaka ya 1980, baba yangu alinunua redio casette player. Kpindi hicho kila mtu alikuwa anaishangaa. Tulikuwa tunaona ni kama ina ''vidude'' vingi sana vya kubonyeza, mtu hujui ubonyeze kipi. Alikuwa anaitumia wakati yupo nyumbani tu, kusikiliza redio na kanda za dini. Ilikuwa inafungiwa ndani muda wote. Fast foward baada ya sisi kukua na kuondoka nyumbani na wazazi kufariki, bado iko, mpya kwa sababu haikuwa inatumika au sahihi kila mtu alikuwa anaogopa kutumia asije kuharibu.
 
Miaka ya 1980, baba yangu alinunua redio casette player. Kpindi hicho kila mtu alikuwa anaishangaa. Tulikuwa tunaona ni kama ina ''vidude'' vingi sana vya kubonyeza, mtu hujui ubonyeze kipi. Alikuwa anaitumia wakati yupo nyumbani tu, kusikiliza redio na kanda za dini. Ilikuwa inafungiwa ndani muda wote. Fast foward baada ya sisi kukua na kuondoka nyumbani na wazazi kufariki, bado iko, mpya kwa sababu haikuwa inatumika au sahihi kila mtu alikuwa anaogopa kutumia asije kuharibu.
Hii comment ingeambatana na picha ingekua poa sana.
 
Back
Top Bottom