Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

20260527_111821.jpg
Umenikumbusha marehemu Baba yangu (RIP Dad). Kitu pekee nilichorithi kutoka kwake ni saa ya Ajanta. Alifariki nikiwa na 6 yrs. Ndugu wakatapeli mali zote zikabaki nguo na vitu baadhi. Mimi nikapewa saa. Anyway naitunza, nilipewa 1996. 30 yrs now, ipo ukutani chumbani kwangu.
 
Mambo ya kitoto kuna siku tukaichokonoa wacha tuweke alarm ya saa 2 kasoro, yule major mstaafu alitutandika mpaka bi mkubwa alipiga yowe 😂😂😂

Hapo lazima mchapike!
Sisi Mshua tuu ndio alikuwa anagusa ile saa, na kwenyewe anabadirisha betri. Ilikuwa ni taboo kushika au kuchokonoa saa ya ukutani.
 
Umetaja Ajanta . Umenikumbusha marehemu Baba yangu(RIP Dad).
Kitu pekee nilichorithi kutoka kwake ni saa ya Ajanta.
alifariki nikiwa na 6 yrs.
Ndugu wakatapeli mali zote. Zikabak nguo na vitu baadh.

Mm nikapewa saa. Anyway Naitunza.
Nilipewa 1996.
30 yrs now

Iko ukutan Chumban kwangu.

View attachment 3595791

Mzigo wenyewe huu mkuu. Unatumia betri mbili.
Pole sana kwa kumpoteza mshua mkuu. Inasikitisha sana.
 
Unainusa hapo katikati? Hiyo michezo tumeifanya sana tukiwa bado vijana wadogo
Dah umenikumbusha enzi hizo nilikuwa nakaa kwa shangazi, ana binti yake alikuwa amenizidi mwaka mmoja, alikuwa akienda kuoga anavuta nguo zote anaacha kitandani then anasepa shule.
Mm nilikuwa ntachelewa kutoka ili nikaichukue chupi take ikiwa na kaharufu cha nyapu yake na kuipigia nyeto, ile sehemu ya kufunika nyapu ndo nilikuwa naweka uboo napiga nyeto 😎

secretarybird
 
Mzigo wenyewe huu mkuu. Unatumia betri mbili.
Pole sana kwa kumpoteza mshua mkuu. Inasikitisha sana.
Ahsante mkuu. Maisha lazima yaendelee.

Ajanta ni habar nyingne.
Vitu vya zaman vilitengenezwa kwa uimara sana. Hata rang zake hazichubuk kirahisi.
Hiyo ajanta ni betri tu sijaweka. Ila nikiweka kila kitu kiko sawa.
Unaona hata Mishale yake bado haijapata kutu.
 
Dah umenikumbusha enzi hizo nilikuwa nakaa kwa shangazi, ana binti yake alikuwa amenizidi mwaka mmoja, alikuwa akienda kuoga anavuta nguo zote anaacha kitandani then anasepa shule.
Mm nilikuwa ntachelewa kutoka ili nikaichukue chupi take ikiwa na kaharufu cha nyapu yake na kuipigia nyeto, ile sehemu ya kufunika nyapu ndo nilikuwa naweka uboo napiga nyeto 😎

secretarybird

Ila bro utakuwa umegonga mabeki tatu weng sana .
Umeanza ufuska zaman sana naona 😂😂😂😂😂
 
Ila bro utakuwa umegonga mabeki tatu weng sana .
Umeanza ufuska zaman sana naona 😂😂😂😂😂
Mkuu, afu Huwez kuamini.

Nna list fupi sana na girls niliowahi kufanya nao sex, kwa hesabu ya haraka sidhani kama wanazidi 10 na hapa nna miaka 30 na sasa hv sina hata mpenzi.
 
Dah umenikumbusha enzi hizo nilikuwa nakaa kwa shangazi, ana binti yake alikuwa amenizidi mwaka mmoja, alikuwa akienda kuoga anavuta nguo zote anaacha kitandani then anasepa shule.
Mm nilikuwa ntachelewa kutoka ili nikaichukue chupi take ikiwa na kaharufu cha nyapu yake na kuipigia nyeto, ile sehemu ya kufunika nyapu ndo nilikuwa naweka uboo napiga nyeto 😎

secretarybird
😅😅😅
 
Ahsante mkuu. Maisha lazima yaendelee.

Ajanta ni habar nyingne.
Vitu vya zaman vilitengenezwa kwa uimara sana. Hata rang zake hazichubuk kirahisi.
Hiyo ajanta ni betri tu sijaweka. Ila nikiweka kila kitu kiko sawa.
Unaona hata Mishale yake bado haijapata kutu.

Mashine yake Quartz mkuu, mishale yake ni stainless steel kama kisu, haipati kutu. Huwezi chubua hiyo rangi, wala hizo namba ndani ya saa haziwezi kupauka. 😊
 
Back
Top Bottom