Mwanamwana
Platinum Member
- Aug 1, 2011
- 9,602
- 22,707
- Thread starter
- #61
Hii mali sana
Hii mali sana
Mkuu nyeto umeanza kitambo kumbe!Dah umenikumbusha enzi hizo nilikuwa nakaa kwa shangazi, ana binti yake alikuwa amenizidi mwaka mmoja, alikuwa akienda kuoga anavuta nguo zote anaacha kitandani then anasepa shule.
Mm nilikuwa ntachelewa kutoka ili nikaichukue chupi take ikiwa na kaharufu cha nyapu yake na kuipigia nyeto, ile sehemu ya kufunika nyapu ndo nilikuwa naweka uboo napiga nyeto 😎
secretarybird
Vinavyotumika mara kwa mara au kuhamishika hamishika ndo vipo kwenye hatari ya kuharibika mkuuWewe unataka kwenda kukivunja 😂😂😂😂😂 nilishachukua kitu home kiwe kama kumbukumbu nikakiharibu
Nyeto yangu ya kwanza nikiwa najitambua nilipiga nikiwa tumboni kwa bimkubwaMkuu nyeto umeanza kitambo kumbe!
Mkuu, usinikumbushe hali hii aisee! Maana nitatia ushuhuda wa hatari sana.Dah umenikumbusha enzi hizo nilikuwa nakaa kwa shangazi, ana binti yake alikuwa amenizidi mwaka mmoja, alikuwa akienda kuoga anavuta nguo zote anaacha kitandani then anasepa shule.
Mm nilikuwa ntachelewa kutoka ili nikaichukue chupi take ikiwa na kaharufu cha nyapu yake na kuipigia nyeto, ile sehemu ya kufunika nyapu ndo nilikuwa naweka uboo napiga nyeto 😎
secretarybird
Tupe vitu mkuuMkuu, usinikumbushe hali hii aisee! Maana nitatia ushuhuda wa hatari sana.
😂😂😂 Okay, ngoja niandae nondo.Tupe vitu mkuu
Hii saa Hadi Leo nyumbani IPO imara sana,ilinunuliwa miaka ya 90 hukoUmetaja Ajanta . Umenikumbusha marehemu Baba yangu(RIP Dad).
Kitu pekee nilichorithi kutoka kwake ni saa ya Ajanta.
alifariki nikiwa na 6 yrs.
Ndugu wakatapeli mali zote. Zikabak nguo na vitu baadh.
Mm nikapewa saa. Anyway Naitunza.
Nilipewa 1996.
30 yrs now
Iko ukutan Chumban kwangu.
View attachment 3595791
😢 Pole sana Mkuu, siku ya hukumu yao yajaUmetaja Ajanta . Umenikumbusha marehemu Baba yangu(RIP Dad).
Kitu pekee nilichorithi kutoka kwake ni saa ya Ajanta.
alifariki nikiwa na 6 yrs.
Ndugu wakatapeli mali zote. Zikabak nguo na vitu baadh.
Mm nikapewa saa. Anyway Naitunza.
Nilipewa 1996.
30 yrs now
Sidhani hata kama vipo watakuwa wamevipa majina mengine mapyaHahhaha, kwani siku hizi havipo kabisa?
Inakukumbusha nini??Hii nimeitunza hapa mwaka wa nne huu...😋View attachment 3595498
kukitumia hicho kikombe hakuna tofauti na aliyerithi godolo la Tanfoam "alilitumia babu mpk mjukuu analitumia" nikuambukizana majasho tu.Hiki kikombe nakumbuka nimetumia sekondari 2005 ila mpaka sasa kipo, juzi kati nilienda kwa wazazi nikachukua kama kumbukumbu
View attachment 3595478
Si kinaoshwa ndugu, hakuna shida kutumiakukitumia hicho kikombe hakuna tofauti na aliyerithi godolo la Tanfoam "alilitumia babu mpk mjukuu analitumia" nikuambukizana majasho tu.
hicho kikombe usikitumie, kinafaa ukiweke kama ukumbusho tu.
midomo mingapi imekitumia hicho kikombe?
Nakiomba,nirithi kabla haujafa.Umenikumbusha mbali sana, nyumbani nina kikombe cha bati tulichokuwa tunatumia mwaka 47 😜
Nimeshaandika kwenye urithi wako, ukiachana na yale mashamba ya tumbaku nitakupa na hiki kikombeNakiomba,nirithi kabla haujafa.
Ajanta ninayo aliiacha late father mkubwa mwaka 1984Noma sana! Kuna glasi moja hivi ya kunywea maji mshua, inakuwa kama gamba la kobe, naona bimkubwa alishaiweka kama kumbukumbu pale home.
Nipo shule ya msingi glasi ipo.
Mshua wangu pia bado anayo saa ya AJANTA ya ukutani, inatumika mpaka leo. 😊
Ajanta ninayo aliiacha late father mkubwa mwaka 1984
Mkewe yupo hai mpaka Leo nilipo kwenda kumvisit miaka 3 iliyopita alinipa kama zawadi