Jamani ehh uchaguzi si ulishapita, sasa propaganda za nini? Nyie subirini 2015 mlambwe mtama kwa mara nyingine.
Acha CCM waongoze kupitia ukatoliki. Juzi katibu mkuu wa wanamagamba alifika ofisini kwa muadhama Pengo kupata maelezo toka Vatikani ambayo kikwete lazima ayatimize tu, Vinginevyo atanyofolewa kitini. Kwa maneno mengine, mtendaji mkuu wa shughuli za chama mukama lazima aulize vatikan je chama kikosahihi na huku padri slaa akionekana wazi kukiwania kiti cha ikulu. Kweli, wamekamatika, ukatoliki unatawala dunia yote.
Nasikia kule alikozaliwa muhamad bia zipo hotelini, unapata kilaji kwa nafasi yako. Oyee ukatoliki! (catholic = universal).
Jamani ehh uchaguzi si ulishapita, sasa propaganda za nini? Nyie subirini 2015 mlambwe mtama kwa mara nyingine.
mhhh jamani mimi najua naweza kuwa zaidi yake japo kuwa yeye ni mzuri kama unavyomsifia, ni udhaifu mkubwa mno wa akili kusema hakuna kama yeye nchi nzima!!!!!!! time is coming
hivi akijaondoka tutakuja pata tena kweli mtu kama huyu???kweli jamaa ana akili sana
hakuna kama slaa kwa kifupi mutake musitake.
Jamani ehh uchaguzi si ulishapita, sasa propaganda za nini? Nyie subirini 2015 mlambwe mtama kwa mara nyingine.