Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Ujue kwa kadri ya Dk Slaa,waziri wa fedha katudanganya...kwenye katiba kasema atafufua reli na shirika la ndege...lakini haonyeshi hizo hela za kufufa hayo mashirika zipo wapi...kwahiyo kasema kama zimefichwa watuambie...miradi mipya haijabainishwa pia...isitoshe hela nyingi zimeenda kwenye wizara chache(kama 6 hizi ) sasa wizara nyingiine watatoa wapi fedha za kuendeshea wizara hizo ilhali fedha zote za bajeti zimeeda kwenye wizara 6 tu...???