The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Naona hoja ya Juma ina mashiko naona Dr kasheki kidogo,ila kesharud njiani.
Kuna mjumbe mmoja anamponda Dr. Slaa aache siasa za hisia, sijui siasa za hisia ndiyo zipi huyo ni mmojz wa wananchi toka Mtwara. Kubali reality, tuachie Tanzania yenye amani.
Jibu la Dr. Slaa.
Anashukuru naye Juma (mpiga simu) kuwa naye amesema kwa hisia.
Analalamika bila point, duuuuh sijui unaangalia channel gani? Acha ubabaishaji kuwa mzalendo utakusaidia, mtu akifanya zuri msifu akikosea muonye. Kama huoni point za Dr. Slaa basi utakuwa shule ulipita haijakusaidia.
Bwana juma ni kati ya wale watanzania wenye haki pia ya ku-express hofu zao. Lakini kama Dr alivyosema nchi haijengwi kwa hofu.Naona hoja ya Juma ina mashiko naona Dr kasheki kidogo,ila kesharud njiani.
kumbe kuhangaika kote ni kutaka kuolewa bahati mbaya hiyo nafasi imewahiwa na josephine, pole sana..urais nakuongea vitu 2 tofauti mm naona dk akaoe kwanza
Pole sana.Rais wetu yupo Live Chanell 10 haya tujuzeni nyie nlio katika tv sisi wengine hatuna umeme maharamia yametuubia mwanga na kuleta giza
stop your pussy duty from nepi. haya kachukue poshokama kawaida analalamika bila point
kazi kweli kweli nipo katikati ya giza nashindwa kumcheki presidaa sababu ya magamba machache, angalau nipo na kasimu kangu ka mchina kananiliwaza na jf nako katazimika chaji sasa hivi, endeleeni ku2juza mlio na umeme.
Ukimwambia tatizo la shule za kata anaanza kulalamika kuwa unajifanya mjuvi na majungu megine mengi tu.Mzee huyu hawezi kuwa amepita shule..labda shule ilimpita!