Hivi ni kwenye katiba au kwenye budget? Sielewi, au katiba na budget ni kitu kimoja?
Vijana wa NAPE. Subirini tu. Time will Tell ila ninavyofahamu hauna hana tone la busara alizo nazo Dokta slaa. kwa kifupi jiandaekaulizwa swali na juma wa newala kachemka kujibu kaishia muda wakipind hautoshi kusifia mazuri ya serikali
Kijana wa NAPE naona upo kazini unawaza kwa kutumia makamasi badala ya ubongo akili umeifungia kabatini,haya baba nenda ofisi za CCM UKACHUKUE POSHO YAKO,INAONEKANA UNAPENDA TAARABUslaa kasutwa na jamaa wa newala anaitwa juma kwa swali moja tu je hauoni zuri lolote??? akajibu yapo ila muda wakipindi mchache na elimu imetengewa fedha na nimfano mnzuri
namfatilia kwa umakini raisi wangu..
sasa wewe mbona umewazungumzia,umewazungumzia ili iweje? siungewapotezea tu, au wewe ndio unaumwa ugonjwa wa KinapenapeHawa Jamaa wanaolipwa na Nape hakuna haja yakuwaquote nakuwajibu tuwapotezee tu watasepa wenyewe wasitupotezee muda kabisa we unamsoma Mtu unaona lengo lake nikupotosha huku ukweli anaufahamu,Mtu wa ivyo unamjibu ili iweje!!
uzuri wa mtangazaji kamwachia dokta uwanja ajimwage...hajamkatishakatisha kabisa kabisa,dk kaflow,nilipenda lile swali la jamaa wa newala ''kadai dk ana siasa za vengas''...mwandishi kaachwa chali haelewi maana ya vengas....dk katika kujibu akasema siasa za visasi...hahaaaa
uzuri wa mtangazaji kamwachia dokta uwanja ajimwage...hajamkatishakatisha kabisa kabisa,dk kaflow,nilipenda lile swali la jamaa wa newala ''kadai dk ana siasa za vengas''...mwandishi kaachwa chali haelewi maana ya vengas....dk katika kujibu akasema siasa za visasi...hahaaaa
Mliotumwa na Nape tunaanza kuwaelewa.JUMA alimuuliza swali inamaana kila kitu wewe wakosoa tu hakuna kizuri? KATIKA BAJETI AU SERIKALI????,dk akajing'ata NG'ATA hoo oooh oo muda wakipindi nimchache cjuhi nisaa moja tu haitoshi kusifia natoa mapungufu ili kuisaidia serikali na kitabu kimoja chamazuri ya matumizi ya fedha za serikali nimekiacha.kume dokta akisutwa anaelewa e!!! napendekeza naye awekwe selo kidogo hop akitoka atasifia bajeti kama mwenyekiti wake.
Akili mgando mama yako ameshaachika kwa NAPE au bado?mi namtakaA loser DK Slaa, anajichanganya na Mwenyekiti wake Mbowe yeye kasifia bajeti kaisema ni nzuri. Loser Dk Slaa yeye anapinga sijui nani mkweli Mwenyekiti au Katibu Mkuu
Dr. Slaa anauwezo mpana sana wa kufafanua mambo! Huyu kazaliwa kiongozi!Dr slaa anaongea kwenye kipindi cha hamza kasongo hours anaichambua na kufafanua maana ya bajeti na namna ya kutekeleza bajeti
Huyu juma alikua anataka nin haswa?JUma Nwelewa ameboa, ni mmoja wa watanzania ambao hawatakiwi nchini. Hakuna uwoga kama ni kushika mtutu shika tu!
Mliotumwa na Nape tunaanza kuwaelewa.
Join Date : 10th June 2011
Posts : 18
Thanks0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0