Hii You Turn Inatia Shaka

Hii You Turn Inatia Shaka

Hali ilipofikia sio muda wa chombo cha uma kuelemea upande fulani itakula kwao, hali ilipofikia si kwa mtu mmoja mmoja kutoa kauli za kipumbafu iwe kwenye majukwaa au ata hadharani uko mitaani au humu kwenye mitandao itakuja kula kwao maana baadae hakuna neno "siku kusudia". Watu waachane na siasa za kizamani za chama kimoja, wapunguze mihemko yao na watumie akili na ufahamu wao pale anapotaka kutoa kauli. Hali mbaya vyombo vyote vya haki na sheria sasa hivi vimeshategesha macho yao ya tai hapa Tz
 
  1. TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime uturn
  2. Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa barabarani
  3. RAIA MWEMA imefanya Uturn ya ghafla
  4. Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
  5. mafuriko yanazidi kuongezeka upande fulani
  6. ...........................................................
Hii ya RAIA MWEMA imeniacha mdomo wazi.... hahahaaaaaa
 
Lowassa ndiye rais,nategemea kuona Uturn nyingi tu hata huku JF.
Fanyeni haraka kuungana na sisi jeshi la mabadiliko enyi wana wapotevu,muda bado haujaisha bado siku 23 tufanye mapinduzi.

Kamanda Nifaaa.....Nakukubali sana wee Mwanamke karibu thread zote zinazohusu mabadiliko nakuona....hii ni tam sana
 
raia mwema wamenishangaza
au hawakukamilishiwa mshiko walioahidiwa na ccm?

Mkuu Raia Mwema ni Gazeti nililokuwa nalipenda sana lkn walipoanza kuonyesha Bei yao kwa CCM niliwapuuza Jana niliona Heading kwa Magufuli apoteza mwelekeo nikawapuuza sikujua km waliandika nini
 
Wameanza kung'amua kwamba Lowassa ndiye rais! By the way, mtu mwenyewe wanayemtukana wala hata hana muda wa kuwajibu

Na hiki ndicho haswaaa kinawaumiza sisiem, kweli kutokumjibu mtu ni adhabu tosha
big up lowasa
 
  1. TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime uturn
  2. Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa barabarani
  3. RAIA MWEMA imefanya Uturn ya ghafla
  4. Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
  5. mafuriko yanazidi kuongezeka upande fulani
  6. ...........................................................

wale vijana maarufu wawili WAliokuwa wakimtukana mzee wetu hawasikiki tena.
kura zote kuhesabiwa na majibu kubandikwa kituoni.
ngome za chama tawala sapoti Yao kuhamishia upinzani mfano tanga,pwani,lindi,mtwara,ruvuma,dodoma ,morogoro na kundi la wazee na wanawake.
 
Tena mkuu EL nakuomba baada ya kuapishwa usipoteze muda,lasirimali kuwashughulikia vilaza hawa.naomba moja kwa moja ukaanze na kazi tulizokutuma-hospital kule,shuleni kule,barabarani,maofisini kuna kunguni wengi kule,mbugani huko,migodini balaa,bandarini et.

Waache Mungu atawaadhibu kwa wakati wake.
 
CCM hadi nawaonea huruma wana Mabadiliko tuwaoneeni huruma hawa wezi wa ccm
 
  1. TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime uturn
  2. Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa barabarani
  3. RAIA MWEMA imefanya Uturn ya ghafla
  4. Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
  5. mafuriko yanazidi kuongezeka upande fulani
  6. ...........................................................
wazungu huita PERIPETEIA
 
wale vijana maarufu wawili WAliokuwa wakimtukana mzee wetu hawasikiki tena.
kura zote kuhesabiwa na majibu kubandikwa kituoni.
ngome za chama tawala sapoti Yao kuhamishia upinzani mfano tanga,pwani,lindi,mtwara,ruvuma,dodoma ,morogoro na kundi la wazee na wanawake.

Umesahau ongeza Piga Kura Linda Kura-Kaa mbali kwa Mujibu wa sheria ya Uchaguzi zaidi Mita Mia mpaka kinaeleweka=Matokeo Kubandikwa.

 
Now back to the topic.
Nafikiri kwasababu wanajua waangalizi wakimataifa wako tayari wanaangalia mchakato (kampeini, kupiga kura, kutangaza na nafikiri siku kadhaa baada ya kutangazwa).
Si unajua unafiki wa baba nanihii ni typical mswahili

Faizafoksi hajakupa laiki kwenye hii comenti
 
Fiesta ya nini tena na wasanii wameshafanya shows za bure kwenye Fiesta ya CCM?
Hakuna mwenye akili mbovu anayeweza kupoteza fedha zake kwa kuandaa fiesta ya pili maana ni hasara tu.
Wasanii wameshapiga show almost mikoa yote.

Unataka kuniambia huu ndiyo unaweza kuwa mwisho wa fiesta jumla coz wamshatumbuiza mikoa yote
 
mtu mwenyewe wanayemtukana wala hata hana muda wa kuwajibu

In fact busara ya kawaida inatutuma kufanya hivyo. Ukimkimbiza mwendawazimu ambaye kapora nguo zako ukiwa unaoga wewe ndio utaonekana mwendawazimu. Nimeipenda siasa ya Lowassa ya kutojibu utumbo wa akina Nape, Mwigulu na Bulembo
 
  1. TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime uturn
  2. Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa barabarani
  3. RAIA MWEMA imefanya Uturn ya ghafla
  4. Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
  5. mafuriko yanazidi kuongezeka upande fulani
  6. ...........................................................

Soma vizuri Raia Mwema la wiki hii Na.425 ndio utajua kama limebadilika au vipi.Nilichogundua baada ya kusoma makala ya Johnson Mbwambo ni kwamba gazeti hilo halijaegemea kwenye chama chochote kama yalivyo Uhuru na Tanzania daima,japo waandishi wa gazeti hilo wana uhuru wa kuwaunga mkono wagombea.Ndio maana kwenye toleo la wiki hii Mbwambo ameeleza wazi kuwa anamuunga mkono Dr.Magufuli,na ameendelea kuwashambulia Chadema kwa kula matapishi yao wenyewe kwa kuhangaika majukwaani kumsafisha Lowassa baada ya kumchafua wao wenyewe.
 
Aliyekwambia wanafanyavshow za bure ni nani, ccm inawalipa kama hujui, we unadhani kwanini ray na aunt ezekiel wamerudi ccm, ni mavumba, hivyo wanalipwa tena pesa nyingi sana

Nafikiri ana maana ya bure kwa watazamaji. Kama MTU kesha faidi ya bure kwenye matamasha ya CCM ana sababu gani kulipia tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom