suplex city
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 433
- 117
usije kuwa umeficha kadi za familia yako
Utakua na uzoefu wa kuficha kadi manake nyie magamba ndio zenu hizo, ccm nmawaza wizi tu leo nikaibe nini?
usije kuwa umeficha kadi za familia yako
Ngoja leo niwe faizafoksi
Uturn hiyo U sio kifupi cha you. Ni letter hiyo hiyo U ambayo inatamkwa yu. Na maana yake ni kugeuka na kurudi ulikotoka.
Hivyo acha kuwakosoa walioiweka Uturn ukaona au wavivu kuanfika yote au vijana wa kisasa. Wewe ndio umekosea.
wale wale waliokua wanaimba tuna imani na lowassa ndio hao wansema ananunua watu basi na wao walikua wananunuliwaMadai yao eti alikuwa ananunua watu,huyu mzee anakubalika bwana.
Yaani binafsi nikimuona nachanganyikiwa!Natamani atangazwe Rais tu nifuraaahi hadi nizimie!...lol
Katika vitu ambavyo huyu mzee amewashinda wapinzani wake ni uwezo wake wa kupuuzia kashfa zao na matusi zinazoelekezwa kwake na kusimamia kampeni za kistaarabu kama alivyoahidi mwanzoni alipoanza kampeni. Ukisikiliza hotuba zake na ukalinganisha na hotuba za JPM unaweza dhani JPM ndiye anawakilisha UKAWA kwa jinsi anavyoishambulia serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.Wameanza kung'amua kwamba Lowassa ndiye rais! By the way, mtu mwenyewe wanayemtukana wala hata hana muda wa kuwajibu
Utakua na uzoefu wa kuficha kadi manake nyie magamba ndio zenu hizo, ccm nmawaza wizi tu leo nikaibe nini?
Katika vitu ambavyo huyu mzee amewashinda wapinzani wake ni uwezo wake wa kupuuzia kashfa zao na matusi zinazoelekezwa kwake na kusimamia kampeni za kistaarabu kama alivyoahidi mwanzoni alipoanza kampeni. Ukisikiliza hotuba zake na ukalinganisha na hotuba za JPM unaweza dhani JPM ndiye anawakilisha UKAWA kwa jinsi anavyoishambulia serikali ambayo na yeye ni sehemu yake.
- TBC Ilikua Inatangaza Habari fulani fulani tu lakini sasa ime uturn
- Kulikua na Mabango ya Kumkashifu Edo Yameondolewa barabarani
- RAIA MWEMA imefanya Uturn ya ghafla
- Humphrey Polepole amekuwa kimya ghafla
- mafuriko yanazidi kuongezeka upande fulani
- ...........................................................