sizya007
JF-Expert Member
- Sep 9, 2013
- 416
- 210
Fiesta ya nini tena na wasanii wameshafanya shows za bure kwenye Fiesta ya CCM?
Hakuna mwenye akili mbovu anayeweza kupoteza fedha zake kwa kuandaa fiesta ya pili maana ni hasara tu.
Wasanii wameshapiga show almost mikoa yote.
Tena this time around walikuwa na mnenguaji mpya anapiga hadi pushapu