Rutatinisibwa
Senior Member
- Aug 22, 2011
- 109
- 42
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
Apewe ya act AMA?Naona makonda anawaapisha kisha anawa ilani ya chama cha mapinduzi
Ivi hawa ni watumishi wa chama au serikali? Me navyojua watumishi wa serikali wangepewa katiba ya nchi na waape kuilinda sasa mbona wanapewa ilani ya chama?
Attach
Wanakwensa kutimiza ilaniyachama sio yanchiNaona makonda anawaapisha kisha anawa ilani ya chama cha mapinduzi
Ivi hawa ni watumishi wa chama au serikali? Me navyojua watumishi wa serikali wangepewa katiba ya nchi na waape kuilinda sasa mbona wanapewa ilani ya chama?
Attach
Naona makonda anawaapisha kisha anawa ilani ya chama cha mapinduzi
Ivi hawa ni watumishi wa chama au serikali? Me navyojua watumishi wa serikali wangepewa katiba ya nchi na waape kuilinda sasa mbona wanapewa ilani ya chama?
Attach
halafu ilitekekezwaje hapo wizarani kwao? Kwa 100% ? Iliwasaidiaje watanzania kwa kipindi cha 2010- 2015? Ni aibu kulisemea siyo? Siku nyingine ukiwa na bunch of theories na ukaziapply kwa miaka kumi then ukajievaluate na kujikuta efficiency is below average unazitupilia mbali na kuja na idea mpya. Hiyo ilani yenu ilishafeli for almost 50+ years why mnaendelea kuja nazo zilezile?
Wale wakuu wa wilaya ni watendaji wa chama au umma? Kama ni wa umma, jiulize umma huo ni wa ccm pekee yao? Na kama wanakwenda na ilani ya ccm ni kwanini walipwe na serikali badala ya ccm iliyowaajiri? Usizungumzie ilani inayotekelezwa bali jadili ni nani mwajiri wao.
sijui unakielewa tunachokijadili hapa? Ule wakati wa chama kwanza nchi baadae ulishapitwa. Mkuu wa wilaya au mkoa uchama wake sio wa muhimu na ndio maana uteuzi wao haukuzingatia ukada kama ulivyozooleka hapo nyuma. Isitoshe huyu makonda mara nyingi anakwenda against na mkulu. Vitu anavyofikiri vitamwiinua vitamtagaragaza siku siyo nyingi. Mbona wakuu wengine hawakuwapa ilani za chama? Hata pale ikulu mbona hatukuona yeyote akipewa ilani ya chama? Maendeleo ya nchi hayaletwi kwa itikadi za ccm.Kila chama wakati wa kampeni kilikua na ilani yake. Chama kilichoshinda kinaongoza kwa mujibu wa ilani yake hata wangeshinda ukawa wangeongoza kiwa mujibu wa ilani yao. Mkuu wa wilaya lazima ajue kilichomo kwenye ilani ili aitekeleze vizuri.
swali la msingi ni je mkuu wa wilaya ni mtumishi wa uma au wa chama?
sijui unakielewa tunachokijadili hapa? Ule wakati wa chama kwanza nchi baadae ulishapitwa. Mkuu wa wilaya au mkoa uchama wake sio wa muhimu na ndio maana uteuzi wao haukuzingatia ukada kama ulivyozooleka hapo nyuma. Isitoshe huyu makonda mara nyingi anakwenda against na mkulu. Vitu anavyofikiri vitamwiinua vitamtagaragaza siku siyo nyingi. Mbona wakuu wengine hawakuwapa ilani za chama? Hata pale ikulu mbona hatukuona yeyote akipewa ilani ya chama? Maendeleo ya nchi hayaletwi kwa itikadi za ccm.