Kimsingi watumishi wa umma wote wanatekeleza Ilani ya Chama kinachotawala ambacho kwa sasa ni CCM.
Hivyo, hata wasingepewa hiyo Ilani ya CCM hao wakuu wa Wilaya, bado wana jukumu la kusimamia utekelezwaji wa Ilani ya CCM ktk Wilaya na halmashauri zao.
Hivyo, hata wasingepewa hiyo Ilani ya CCM hao wakuu wa Wilaya, bado wana jukumu la kusimamia utekelezwaji wa Ilani ya CCM ktk Wilaya na halmashauri zao.