Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Nimefika Dar sas hivi nikitokea Mwanza, nafika hapa Airport nasikia taarifa ambazo nahisi ni taarifa za uzushi, eti Dr Mwakyembe Amefariki. Haraka nikaingia JF ili nipate taarifa. Lakini sikukuta kitu kama hicho, nikajua haikuwa sahihi, kwani JF hutoa taarifa ndani ya Dakika moja jambo linapotokea!
Wakuu kwani kuna nini?
Wakuu kwani kuna nini?