Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,021
- 132,763
Mkuu Kido kidole007 hayo ni kweli!, ila utajiri na umasikini is just an atitude of mind!, ukiwaza kimasikini, unaishia kuwa masikini kweli, lakini ukiwaza kitajiri, unakuwa tajiri kweli, hivyo if you wan't to get rich, you'll be rich!, but to be rich you got to start thinking like rich, behaving like rich, once you think like rich, richness will come to you, you'll have to get rich, if not, you'd rather die trying such that if you can't get rich, unaishi ili iweje?!, better be dead than being poor!, kuna type fulani ya umasikini ni laana!, bora try, ukifa on tying, na ukifika mbinguni angalau mule utapewa utajiri kwa sababu you died trying to be rich!, ila ukiridhika na umasikini, ukifa, wewe ni straight motoni!, kwa sababu utaonekane uliridhika!.Hizi motto za get rich or dying trying
Ndio zimepelekea kushamiri biashara za madawa ya kulevya
Get rich or die trying; tembo wetu wanakaribia kuisha wajukuu zetu wataishia kuona picha kma tunavyoona picha za dinosaurs Leo
Get rich or die trying: watumishi wa umma kupokea rushwa wazi wazi na kuingia mikataba isiyo tija
Get rich or die trying;walimu badala ya kufundisha anauzia watoto ubuyu
Get rich or die trying; matapeli wakubwa kwa mgongo wa dini
All hustlers out there keep getting rich or die trying
Mkuu Kidole, hayo ni kweli!, ila utajiri na umasikini is just an atitude of mind!, ukiwaza kimasikini, unaishia kuwa masikini, ukiwaza kitajiri, unakuwa tajiri kweli, hivyo if you wan't to get rich, you'll be rich!, but to rich you got to start thinking like rich, once you think like rich, you'll have to get rich, if not, you'd rather die trying such that if you can't get rich, unaishi ili iweje?!, better be dead than being poor!, kuna type fulani ya umasikini ni laana!, bora try, ukifa, na ukifika mbinguni angalau mule utapewa utajiri kwa sababu you died trying to be rich!, ila ukiridhika na umasikini, ukifa, wewe ni straight motoni!, kwa sababu utaonekane uliridhika!.
Matajiri wote wataendelea kuwa matajiri hadi mbinguni, na masiki vivyo hivyo, ndio maana makanisa ya sasa ya kina Rwakatare, Mzee wa Upako, Gwajima, etc, yote yanahubiri utajiri tuu na sio umasikini tena!.
Pasco.
Mkuu Shark, sio upendeleo, but ni "getting connected!".Pasco sio lobbying zote ni tatzo nimeona umejaribu kuonyesha kwamba hutaki kufanya lobbying ya aina yoyote. hata kwa walioendelea hua zinafanyika ila wewe unaepewa upendeleo unatakiwa uperfom to the maximum
Mkuu King Kong, kwanza asante kwa hii, hili la kuambiwa nimejivunjia heshima, kila siku linaibuka humu, jibu langu huwa ni moja tuu, ili hiyo heshima nitakayo jivunjia, ivunjike, kwanza ni hiyo yenyewe lazima iwepo ndipo ivunjwe!, kwa bahati mbaya sana, Pasco wa jf, hata hiyo heshima yenyewe hana!, haipo, hivyo hakuna heshima iliyovunjika kwa sababu haipo hata hiyo ya kuivunja!.
Sitetei mtu, ila huu ndio ukweli halisi, Tanzania ya sasa ukiwa na pesa tuu ndio kila kitu!, haijalishi umezipataje, wala unafanya nini to make them, just the end justify kila kitu!.
Mimi wa Pasco wa JF nilikuwa mwandishi tangu enzi za Mwinyi, tukiwa Tambaza, japo sio darasa moja, sisi tukiwa O Level, mtoto wa Mwinyi alikuwa A level na watoto wa Malecela na tulijua pale, kama ni lobbying si ninge lobby?!.
Kwenye Tambaza hiyo hiyo tena darasa moja!, same class, tumesoma na mtoto wa Ben!, Ben anaingia madarakani tunamuona hivi na huku mtoto wake ni rafiki!. Kwa nini nisilobby?!. Kwa Ben mimi nimepelekwa hadi kwa baba na mama na kuwa formely introduced kuwa huyu "tumesoma nae!", nyie Ben mnamuita rais, sisi tunamuita "baba so and so!", kama ni ku lobby, si ningelobby!.
Nimeacha journalism nikaenda UDSM, kitivo cha sheria, pale nimekutana na mtoto wa Jakaya he is like a friend!, kama ni ku lobby halo si ndio pangekuwa penyewe?!. Na kama hujui, baada ya kumaliza UD nilipata kazi ya maana sana FCO, nikiwa ndie mshauri wa siasa wa Balozi wa UK hapa nchini, a well paying job!, niliacha mwenyewe kwa ridhaa yangu, huku nikibembelezwa!, just to pursue my "idea" ya PPR!.
Zile project za 77 na 88 na halfa za ppf/nssf/tpdc etc, zote zinatangazwa kwenye GP watu wanaomba, tena kwa hili ningepaswa kupongezwa ni mimi ndio nilianza kutangaza kama mtangazaji "private!", sasa unaniona nikipungua wamekuja vijana kina Kibonde, Jerry Murro, na watangazaji kibao sasa ni private, hivyo soon nitatoweka na kuibukia mahakama kama advocate wa High Court, nakuhakikishia hakuna lobbying yoyote wala halam,biwi mguu mtu yoyote!.
Hata utetezi wangu kwa EL, right hand man wake anaitwa Abou ni dam dam na mimi, lakini amini usiamini, sitajahi hata kusalimia tuu mzee hata shikamoo tangu ameanza harakata japo kila kukicha natia timu ofisini kwake kumuona Abou!.
Ni kwa kuto lobby huku kuninepelekea mimi kubaki masikini, ila amini usiamini, kuna masikini jeuri, wako radhi kulala njaa, huku jirani next door akimwaga chakula!. Bora kufa njaa kuliko kuwa omba omba!. Mimi ni masikini jeuri wa type hiyo, na enjoy umasikini wangu lakini halali, kuliko ku lobby popote!.
Wapo matajiri wenye utajiri mkubwa wa mali, lakini ni masikini wa roho, bila furaha moyoni, tuma masikini wengi, wenye umasikini wa mali, lakini ni matajiri wa roho, wenye furaha ya kweli maishani!.
Pasco.
Wanted ni front man wake anayeitwa Vithlani!, hawa matajiri wakubwa wana operate the mafia way!, unamtanguliza mtu baki ili dili iki backfire, wewe you will be safe.nilichomuelewa .. Pasco anasema pata pesa kwa style
yoyote hata kwa njia ambazo siyo we tafuta tu...halali si halalI sawa, sawa tu
mfano huyo tanil somaiya si unaona alienda ikulu na hiyo sijui red ferari yake wakati huo huo jamaa huyo ni wanted na interpol
Mkuu Ndjabu Da Dude, thank you, you mother fu.ker he is real a motherf..ng VIP!, begi lake halikuwa handled like everybody else's, because he is not everybody else!, he is somebody!. Kule mwanzo nimeisha kuambia who he is!, this is my answer for this shit's sake!, acha wivu you suck man!, na wewe you can just get rich and be somebody!, ili ukipita pale DIA, upokelewe mabegi yako yapitishwe off the screen!.
Na kwa taarifa tuu, zaidi ya hizo screens, kuna security cameras all over the place!, hivyo kupitishwa off the screen hakutoshi!, hizo security cameras zinazorekodi kila kila kila kona for 24/7, hivyo mizigo yote inayopita off screen, security chief anapaswa kuiona!, na baada ya hili tukio kuripotiwa humu jf, inawezekana kesho Mwakiembe atamsummon security chief, kuscreen security footage at that particular time, na atakuta the security camera, just wen't off! at that specific moment!. Hiyo kitu inaitwa "connections!", just get rich and get "connected!", vinginevyo just shut up you big Fu..en mouth "n" Fu.k U2!.
Hii ndio Bongo!, hutaki, unaacha!.
Pasco.
NB, sorry kwa wale ambao hawajanizoe na lugha hizi, niliishazitumia zamani, hivyo ninapokutana na hawa vijana wenye usongo wa maisha kutokana na kuwaoneo wivu kila wenye nacho, hivyo kutukana watu mwanzo mwisho, sio mbaya kukumbushia!.
Mkuu Plato, thanks, lakini yule wa "Kiti Moto" ni jamaa yangu!, mimi Pasco tuu wa JF!.Mimi ni mmoja wa Watu wanaokuelewa sana, kwa maana ya content za post zako.
Vumilia tu, si kila mtu atakuwa na uelewa wa.kusoma between the lines!!
Sijui wangapi wanajua ulikuwa na kipindi matata cha kitimoto kilichompa hasira sana che Mkapa. By the way, mara moja moja uwe unakumbushia yaliyokuwa yanatokea nyakati hizo DTV.
Thanks.Pasco I like your mother fcn post...ha ha ha
Mkuu Plato, thanks, lakini yule wa "Kiti Moto" ni jamaa yangu!, mimi Pasco tuu wa JF!.
Ila nitamwambia huo ushauri wako na utamfikia!.
Pasco.
Wakuu, Mwenye picha yake huyo Dogo Juma Pinto atuwekee hapa wengine hatumjui.
Sisi wengine ni kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!", we have all the opportunities na fursa za kuwa matajiri, lakini hatuzichangamkii, hatuzitumii, wenzetu wakizichangamkia fursa, tuna mind!.mkuu Pasco labda nkuambie tu katika dunia hii tunayokwenda hakuna assets kubwa mtu ambayo atakua anajivunia kama kua connected kuwa na vibopaz netwek. yaan incase unamjua mtoto wa rais let say ukawa na mtu mzito polisi kisha jirani yako ni dakitari sio huu wa diamond ule wa mahospital kisha una mawaziri wanne ni jamaa zako hapo ukifa njaa umependa
Just keep trying!, hata matajiri wengi unaowajua usifikiri wote wamecheza fair play tu za gemu halali pekee!, ikibidi kucheza rafu kidogo, cheza rafu ukiwin itumie hiyo rafu kucheza fair play!, hebu fikiria njia JK aliyoitumia kufika Ikulu, think of EPA, angalia role ya Salva pale Mtanzania, fikiria walichomfanya Dr, Salim, etc, now the game is over, angalia sasa wako wapi, si ni wanakula kiulaini!. Vivyo hivyo ndivyo huyu kijana alivyoanza na hardships za London, kaunyaka mchongo kachangamkia fursa sasa ni mmiliki wa gazeti!, na kiukweli nadhani hata hilo gazeti ni zunga tuu, sidhani kama lina circulation na kumuwezesha kuungurumisha zile mashine anazosukuma hapa mujini, ila muhimu ni halali mbele ya macho ya watu iwepo, ili kuepuka maneno maneno ya wanga na walimwengu kama hawa humu!, what matters the most is the end!, justify the means!.get rich or die trying....imeniklik tena akilini maana kila unapo jaribu kucheza fair play mambo hayaendi
zamani tulicheza rafu tukapewa red card sana....ila tunapoelekea ahhh sijui itakuwaje
in short kufanikiwa kihalali ni ngumu sana... Pasco
Siku zote MBWA WA MANZESE hawezi kuijua GENTAMYCINE na ndo maana nawaambieni BADILI TABIA ili msiwe Chizi Fureshi vinginevyo mtahororoja kama FaizaFoxy na katika hili walau Pasco anaweza kuwa bonge la Mdakuzi