Kiba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 459
- 62
WanaJF, aliyetegea sikio BBC dira ya dunia . Taarifa ya Devid Mwampesia inauma sana kuhusu Wanyarwanda na Warundi walioondolewa Tanzania.
Wengine waliolewa Tanzania na wameishi kwa miaka 25 , wengine ni wazee na ukada wa chama tawala walipewa na kura walipiga .
Swali langu ni je kwanini wapewe shahada za kupiga kura?
Kwanini wapewe muda mrefu kiasi hiki hadi umpe chansi ya kukupigia kura?
Wengine waliolewa Tanzania na wameishi kwa miaka 25 , wengine ni wazee na ukada wa chama tawala walipewa na kura walipiga .
Swali langu ni je kwanini wapewe shahada za kupiga kura?
Kwanini wapewe muda mrefu kiasi hiki hadi umpe chansi ya kukupigia kura?