Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,801
- 7,465
Gwajima kafanya aliyoyafanya kwa sababu ana-resource za kujilinda kama walinzi mwangalie mdude pale kwake hana ulinzi ndo maana ilikuwa rahisi kumvamia ila ni ngumu kwa gwajima sababu ya ulinzi aliokuwa naoKuna vitu viwili hua tunavichanganya sana DHARAU na JEURI.
DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.
Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia
Mimi na wewe tukiongea kama gwajima tunapotezwa hatuna ulinzi na hatujulikani
Sifundishi watu uoga bali unatakiwa ujue uhalisia kwanza