GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,646
- 10,859
Utakuwa humfahamu Gwajima!Akitekwa shauri yake
Utakuwa humfahamu Gwajima!Akitekwa shauri yake
Issue ya Lowassa ilikuwaje?Siasa za Tanzania umeanza kuzifatilia jana unakumbuka Sakata la Makonda na yeye unakumbuka aliwekwa ndani kisa Lowasa..
Hebu niweke sawa,ni kweli mnatuona wanyakyusa tunadharau? Maana nimeona sehemu nyingi wanatusema hivi.Kuna vitu viwili hua tunavichanganya sana DHARAU na JEURI.
DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.
Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia
kwa hiyo anafanya syndicate/abracadabra?Utakuwa humfahamu Gwajima!
Ujasiri ni totauti na ujeuri. Ujeuri mara nyingi hutokana na mtu kuwa na kinga au hakikisho la usalama wake. Wasukuma wengi kinga yao kubwa ni uchawi. Hiyo ndio jeuri ya Gwajima.Kuna vitu viwili hua tunavichanganya sana DHARAU na JEURI.
DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.
Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia