THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,336
- 4,848
Kuna vitu viwili hua tunavichanganya sana DHARAU na JEURI.
DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.
Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia
DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.
Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia