Hii Ya Askofu G ndio inaitwa Jeuri

Hii Ya Askofu G ndio inaitwa Jeuri

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,336
Reaction score
4,848
Kuna vitu viwili hua tunavichanganya sana DHARAU na JEURI.

DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.

Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia
 
Gwajima sio jeuri wala nini ni kitu kinachomuumiza binadamu yeyote kwa hayo matukio mtu yeyote ambae ana ubinadamu ndani yake anaweza kuongea mbona wengi wameongea kila siku sema yeye alivyoita waandishi na kwa kuwa ni wa chama kimoja walidhani atatangaza mambo ya kuendelea kugombea ubunge au laa sasa hivi akiita waandishi wa habari hakuna kikao kitafanyika...
Mdude na Mzee kibao imewaumiza sana watu kwa mazingira waliyochukuliwa na watu watalipa kwa huo ubaya waliofanya.
 
Kuna vitu viwili hua tunavichanganya sana DHARAU na JEURI.

DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.

Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia
Bebe nang'oo 🤣😂 unajua wazee wa KISUKUMA ni wababe Sana Sanaa ni watu waungwana na hawapendagi uonevu.

Wakurya ni hatari Sana mkurya huwa hawezi kuvumilia uonevu na manyanyaso lazima anakiwasha huwa hawaogopi KUPOTEZA EXACTLY 💯
 
Tusitoke kwenye tamani, au tukabadili chorus ya NRNE, tulishapiga Kelele sana kuhusu utekaji Gwajima mwenyewe alikaa kimya, sisi tuendelee na NRNE halafu wao watakanyagana kuhusu kutekana
 
Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Yaelekea ana backup kubwa nyuma yake, rejea yule aliyeomba Mwenyekiti awapishe mkutanoni, wakaja wawili mwingine Ngosha mwingine Mangi wakapinga utaratibu unaotumika kumpata mgombea wa yellow, majuzi kati kuna vijani wawili wametoa clip wakisema kuna kundi kubwa la greens wanasaidia mawazo upande wa ng'ambo usiku
 
Kuna vitu viwili hua tunavichanganya sana DHARAU na JEURI.

DHARAU ni kitu chepesi sana dharau anakua nayo mtu yeyote,...ndio maana Wanyakusya hua mnasema wandharau 😁..hakuna Mnyakusya Jeuri au mweye kiburi so elewa dharau unaweza ipata kwa mtu yeyote.

Ila kuna kitu inaitwa UJEURI hii anakuaga nayo mtu JASIRI tu hii wanayo sana Wasukuma na wakurya😂
Na mtu JASIRI ni mtu always hua ana uhakika na kile anakisema au kukiamini.
Cc:Samia

View: https://youtu.be/U89Gm7CuGgA?si=ZCO55026wONzU_OR
 
Back
Top Bottom