Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Unaenda Kia ukitokea Moshi town halafu akakupita jamaa anayetokea Arusha na hukumuona tena

Mbona hizi ni direction mbili tofauti hebu nieleweshe sijakuelewa
Ni kweli mkuu.
Kukimbia inategemea sana na aina ya barabara na namna unavyoijua.
Niseme tu magari madogo usiku yanakimbia sana.
Juzi jumapili kuna mtu nilienda nae airport Kia from Moshi town ilikuwa kama saa kumi kasoro alfajiri, alinipita jamaa akitokea Arusha kwa haraka haraka alikuwa kwenye speed ya 200km/hr.
Kwasababu alivyonipita siku mwona tena...

Watu wanakimbia sana.
 
Unaenda Kia ukitokea Moshi town halafu akakupita jamaa anayetokea Arusha na hukumuona tena

Mbona hizi ni direction mbili tofauti hebu nieleweshe sijakuelewa
Huwenda ni wakati anarudi kutoka KIA mkuu! Usiwe serious sana utashindwa kuishi na vijana mkuu [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Unaenda Kia ukitokea Moshi town halafu akakupita jamaa anayetokea Arusha na hukumuona tena

Mbona hizi ni direction mbili tofauti hebu nieleweshe sijakuelewa
Nimechanganya kidogo mkuu.
Nilimaanisha wakati narudi Moshi mjini kutokea KIA.
 
Ivi umenielewa kwanza nilichoongelea??
Tatizo lako unakuja kuanzisha ubishi bila kujua unabishia kitu gan
Ok ngoja nikueleweshe maana we mgumu kuelewa
Ninachosema magari yanatofautiana odometer kuringangana na nchi inayotokea, engine za magari hasa v8 na v6 ni zilezile, nikimaanisha nyingi hutengenezwa sehem moja na uwezo ni uleule, ila katika odometer kwa sheria za japan, ukizidisha ikasoma juu zaidi ya 180kmph lazima ulipie hiyo model, na kadri unavyoweka juu zaidi ndo unailipia zaidi, nikimaanisha anaeweka 260km/h analipia zaidi ya ataeweka 220km/h
Kuna aina za subaru zimelipiwa na sio kuwa haziwez zikaenda zaidi ya apo
Nchi kama ujeruman hawana speed limit
Na upande wa kushoto wa barabara zao hutakiwi kuendesha kama unaendesha speed ndogo, kule ukifika ata 400km/h hizo barabara we endesha tu kifo ni chako, ndo maana magari yao yana odometer zinazosoma speed ya juu ambazo hazifikishi

Tukirudi kwenye magari ya magazeti, yale ni wananunua special yenye speed kubwa, pale mwananchi mfano kuna isuzu mistubish flan hivi ziliingia mwaka juzi zenye speed adi 240,

Na kuna friend wangu mwenye ZX VX yenye engine ya v8 yenye odometer ya 180kmph, sio kuwa haina uwezo wa kuzidisha apo sema wameiwekea speed limit ya 180, na gari zenye engine hiyohiyo za ikulu zina 280kmph, apo ni kuwa za ikulu zilitoka kiwandani zikiwa special za ikulu, ila sie tunanunua magari kwenye soko la wajapani

Na kama tanzania tungekuwa tunatengeneza magari, basi serikali yetu ingekiamuru kiwanda kiwekee magari ya kawaida speed ya 110km/h magar madogo na 80km/h kwa malori na mabasi

Kama hujaelewa basi
Umejitahidi sana kuelewesha . Asante. Sasa gari yangu V6 adometer 180 je ninaweza kukamua wese ikawa over 180 hata kama dashboard haisomi?
 
Umejitahidi sana kuelewesha . Asante. Sasa gari yangu V6 adometer 180 je ninaweza kukamua wese ikawa over 180 hata kama dashboard haisomi?

Mafundi wanaweza, ila sema ya nn akati hutoitumia, na ukionesha mtu odometa bado inasoma 180
 
IT hawafai ndiyo maana wanakula mbanga sana. Juzi kuna polisi walikuwa na Nissan xtrail wanafukuza Honda IT, polisi walitembezwa mwendo mbaya sana na hawakuona hata taa za nyuma za IT zinawakia wapi. Badae wakarudi eti wanakagua maeneo huenda yule mwamba kajificha.. natamani polisi wapewe powerful cars
Polisi nimewahi fukuzana nao mwendo mrefu! Nilikuja kuingia mtaroni mara hao hapo na mihasira Yao! Ile wanasimama niliinua mashine kikomandoo! Watu weweeeee! Lile Vumbi walilobaki nalo watakuwa walilazwa Kwa pumu!
 
Takwimu zinaonesha magari madogo yanaongoza kwa ajali, yamezidi hata bodaboda! Tulikuwa tunasema bodaboda ni wavuta bangi na wanywa viroba sasa inaonesha madereva wa magari madogo ni zaidi ya bodaboda.
Ajali nyingi but fatality vifo vichache mkuu..Malory ndo hatari zaidi
 
Polisi nimewahi fukuzana nao mwendo mrefu! Nilikuja kuingia mtaroni mara hao hapo na mihasira Yao! Ile wanasimama niliinua mashine kikomandoo! Watu weweeeee! Lile Vumbi walilobaki nalo watakuwa walilazwa Kwa pumu!
Subiri kwanza,ulikuwa na gari gani? Na huo mtaro ulikuwa wa aina gani mpaka ufanikiwe kutoka
 
Hii road magari yanakimbia kweli kweli
1577054392730.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu tuandikie wino mate tuweke pembeni, Mbeya -Makambako mlitumia mda gani na hiyo private? Yaani hapo umekimbia hadi mate yamekauka mdomoni nakupa masaa mawili kwa upendeleo! Je Makambako -Dar ulitumia masaa matano?[emoji23][emoji23]
Dar - Iringa masaa 6 au 5:30,saa 10 umefika mbeya.
Dar - Songea masaa 11 au 12. Ruvuma line,Comfort ilikuwa kawaida hizo route kutembea kwa mida hyo
 
Back
Top Bottom