Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,511
Nissan GT-R top speed ni 315km/hr
Haifiki 250mph lkn
Nissan GT-R top speed ni 315km/hr
Embu tuambie inafika ngapi?Labda kwa kuanziaHaifiki 250mph lkn
Embu tuambie inafika ngapi?Labda kwa kuanzia
250mph ni sawa na 400kph...Limekaa kibabebabe sema sijui kwann speed haijanusa 250mph
Pole sana...ilikuwaje mkuu?Endeleeni kusifiana upuuzi tu,ligi hizi mwenzenu niliwahi kupaa kuamka niko icu bichwa limebondeka bondeka.
Sijafa ila mpaka leo siko sawa.
You are ryt!Ndo hyo 196mph
Ushasema ni ya kawaida halafu ni special?Ni ya kawaida sema ni special na odometer yao inasoma adi 240 though yanatoka japan
Kikubwa ni wale madereva wameizoea zile barabara
Hujaelewa wapi mzee...sijaelewa
Ushasema ni ya kawaida halafu ni special?
Hebu nioneshe Toyota hiace yenye 240 na Coaster yenye 240
Ni ECU tu ndio imelimit speed kwenye Crown ila 4GR-FSE ukiikuta kwenye gari za soko la marekani kama Lexus IS250 inasukuma 260kph
Na mm nimeshangazwa..speed ya 100 mbona kawaida sana
Inategea subaru gan na barabara gan na kama ni nje ya mji au mjin
Mi nina legacy na 100 ni kawaida tu speed za apa mjin
Au we unaogopa speed mzee
acha ujinga unachat? halafu unajisifu, pumbavu kabisa.mkuu subaru ya aina gani hiyo? speed 100 tu? Juzi nimekuja na Escudo tu,ikiwa speed 100km/hr nachat kabisa.
Wewe ndio unajifanya mjuaji wakati watu umetaja fani zetu kwa kuwalisha watu matango pori!!Huelewi somo
Unaimiliki hio pikipiki au umei-google?Mkuu hata watu wa magazeti ni watoto kwa pikipiki hii "Suzuki Hayabusa 1340cc/397km/h" siku wakifanya nayo ligi watakusimulia.